Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hii Nini????Mwanangu wewe ni wa kukurupuka tuu🤣🤣🤣🤣
Wapi mdada ameandika anatafuta mwenye kampuni??
Hujambo lakini?😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Nini????Mwanangu wewe ni wa kukurupuka tuu🤣🤣🤣🤣
Wapi mdada ameandika anatafuta mwenye kampuni??
Hujambo lakini?😂😂😂
Unique Flower wetu ana moyo mzuri sana...Dada wa Mabomu
Dada ndiye mwenye kampuni lkn hatafuti mtu mwenye kampuniHii Nini????
Hii Nini????
Hahaah haya bana ila nashukuru mambo yanaenda vzr...vuta picha hakuna wadhifa, yupo bujonde na watoto kadhaa.
kinachoonekana sasa ni nguvu pesa.
Yah sure ni mkweli kimtokacho ndicho hicho hichoUnique Flower wetu ana moyo mzuri sana...
Sema tu huwa anasoma kwa haraka na kujibu kwa haraka.
Hana shida kabisa ni mutu ya Mungu
I still believe I am the best candidate. Yani kwangu hatokuwa na haja hata ya house boy. Nyumba yake ambayo baada ya ndoa itakuwa yetu nitahakiksha naisafisha, nampikia, namfulia na pia naenda kwenye kampuni yetu kufanya kazi.Hahaah haya bana ila nashukuru mambo yanaenda vzr...
I will testify one day hapa kwa ijili ya rafiki yangu...
Mtu akikuomba msaada ni vyema ukamsaidia..
Na nimemsaidia kwa kulifikisha hapa..the rest will be history
Juzi jana nilikuwa pabaya so hata sijaelewa bossyDada ndiye mwenye kampuni lkn hatafuti mtu mwenye kampuni
Uliadimika humu ulifichwa wapi?Juzi jana nilikuwa pabaya so hata sijaelewa bossy
Sipo salama aisee kabisaa ila huko sirudii hata kwa fimbo , kisu , risasiUliadimika humu ulifichwa wapi?
Uko salama?
Dooooh hii kaliiI still believe I am the best candidate. Yani kwangu hatokuwa na haja hata ya house boy. Nyumba yake ambayo baada ya ndoa itakuwa yetu nitahakiksha naisafisha, nampikia, namfulia na pia naenda kwenye kampuni yetu kufanya kazi.
Nikifanikiwa sitokusahau mshenga ukija home kwetu kututembelea nakupa huduma kama Salt Bae 😀 😀
Vyedu ndio niniYuko vyedi mbonaaa
Huyo atanifaa ngoja nije pmNi Yanga lialia anataka aninunulie jezi ya uto eti...
KipareVyedi ni kisambaa maana yake yuko vizuri
Hana mtoto lakini sio tunaanza lea mitoto ya wanaume wengineVyedi ni kisambaa maana yake yuko vizuri