antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Dah, aisee.. kumbe!Hiyo pic ipo mitandaoni sio yake usidanganyike mkuu 🤣🤣🤺
Yaani ningeenda kutoa mahari next weekend 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, aisee.. kumbe!Hiyo pic ipo mitandaoni sio yake usidanganyike mkuu 🤣🤣🤺
Hiyo pic ipo mitandaoni sio yake usidanganyike mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1733]
Sawa mrembo, nimeelewaMi sitafuti mchumba ni best yangu 😄
Halafu hyo sio picha yangu
Nilikuomba papuchino kule kwenye ule uzi ukakimbiqWanaume rijali ungemalizia, vita ni kubwa mnooo yaan.
Bottoms wanavuta kushoto, wanawake wanavuta kulia.
Wanaume rijali kazi wanayooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila wakati na zama zakeMkiwa umri wa kuolewa mkisemeshwa mnakuwa na nyodo mkifikiria mtabaki vigori siku zote. Ona sasa anatafuta mwanaume yeyote!
Hahaha ungeshikishwa [emoji846][emoji846][emoji846]Dah, aisee.. kumbe!
Yaani ningeenda kutoa mahari next weekend [emoji16]
Mrembo, nataka.. nipe muongozoUzuri sipendagi kufake life...nimeshamwambia sio mimi..
Ila akitaka kuniona anaweza niona aje JF snapika kwani sh ngapi...
Namwambia ukweli asije kuingia kichwa kichwa asije kuliwa au kipigwa na kitu kizito kichwani [emoji4][emoji4][emoji1787][emoji1787]mbona unamwekea jiwe mwenzio
Hapana yule kibabu yupo
Baba mchungaji analijua hilo?Hapana yule kibabu yupo
Amefariki muda hivyoo 2009Baba mchungaji analijua hilo?
Pole sanaAmefariki muda hivyoo 2009
Mmmh, kwani wewe hutaki ndoa kama best yako ?,sisi tumekupenda wewe😊Mi sitafuti mchumba ni best yangu 😄
Halafu hyo sio picha yangu
Mke wamtu huyooMmmh, kwani wewe hutaki ndoa kama best yako ?,sisi tumekupenda wewe😊
Kiufupi ni kwamba hapa mwanamme anatongozwaNina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.