Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Aisee, haya nasubiri Tangazo lingineMke wamtu huyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, haya nasubiri Tangazo lingineMke wamtu huyoo
Ila hii kweliWasomi huwa na sura personal, rejea mheshimiwa speaker[emoji1]
Wanaume tunatafutwa kama hela kudadadeki, huyo dem asiwe na deni la bodi ya mikopo niunganishe nae na awe na kipato cha kueleweka sio mbambamba ategemee hela zangu kila kitu ninganishe nae.Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Sawa sawa mkuu, nitauzingatia sana huu ushauri hadi siku ya mwisho wa pumzi yangu hapa duniani...😊Acha kuzuga bana hahahahahah ww mpende mkeo mwa moyo wako wote na nguvu zote
[emoji16][emoji16][emoji16]Dah! Sifa ya kujielewa imenitoa kwenye kinyang'anyiro.
Asee umri tu ndiyo umeniangusha nimekosa dodo hilohahahaha unajua kila mtu ananjia zake huwezi jua labda mimi nikawa daraja lake..maana hata leo kanikumbushia...
Wanaume wanaogopa watu waliowazidi vitu fulani labda shoga ndo anapokwama hapo..
Ila humu kuna watu wapo aggressive na wana uthubutu
Mi ningekutokea wewe ila nisichoweza kuvumilia ni kulala kitanda kimoja na mwanamke shabiki wa simba hadi asubuhiSio mbaya
MhTunatafutwa sana wanaume, soko tunalo
Si ndio
Ukweli mtupu. Huyo akubali tuu kutulia na kina mzabzab lakini sio wanaume makini na mwenye focus na maishaMwanaume mwenye miaka 35, anayejielewa, mwenye focus na maisha hawezi kuunganishiwa mwanamke.
Labda kama ni member wa kula tunda kimasihara na Mkataa ndoa hapo sawa.
Akibaki na ivyo vigezo rafiki yako atapata mwanaume marioo au akubali tunda liliwe kimasihara
Kabisa wala tusiyumbishwe na pisi kali wakati wowote sie tunasubiria kula raha tuuTunatafutwa sana wanaume, soko tunalo
Masikhara pembeni mwanaume ssrious na maisha hawezi tafuta mke wa kuunganishiwa rafiki hizo ni somjo tuu. Ukiwa serious wanawake wanajileta wenyewe unajichagulia tuu.Acha uharibifu
Kabisa mwanawane yaani ata mie imenipa nguvu ya kumnyima huyu pisi kali hela ya kwenda out. Kumbe tunaweza anza kutafutwa muda wowote uleThis post boosted my self confidence ,kumbe wanaume tumebaki wachache asee mpaka uhaba hivi akati enzi izo ukienda disco vumbi mwanamke mmoja wanaume 10 mwengine mradi abambie ata shingo😁