Hiyo ni preliminary selection criteria, ili kuokoa muda...kuna baadhi ya majibu anakuwa automatically disqualified kama kwenye ajira portalDuuh sio kwamba haya maswali mtaulizana wenyewe in case nikikupa namba?
Mwanamke anaetaka kuoa atakuwa msagaji huyo.Mwanamke anaetaka kuoa sura ni kigezo cha mwisho kuangalia
Ili nalo la muhimu ?mpaka gpa,sasaa mengine si mtajuana nae mbele kwa mbeleSamahani mkuu, amesomea degree ya programe gani, chuo kipi ? GPA yake ilikuwa ni ngapi ?
Mtoto vipi? Wewe au yeye?yeye hana mtoto🤔mtoto je ?
Is she a feminist?
Utamkosesha mume mwenzio. U serious utaujua vipi kupitia comments?Nitampa mtu mwenye yupo siriaz namba hizo info ni too personal
Sorry nimerekebishaMwanamke anaetaka kuoa atakuwa msagaji huyo.
😃😃😃😃 match inaanza mtu anaongoza 2Why problem ni umri? 31 ni mdada mbichi sana
Kampuni yake inahusika na nini?
Subiri nimscreenshotie mtu hapa
Rafiki yako ana weza kuanza mechi 2-0? 😅
VizuriMtoto vipi? Wewe au yeye?yeye hana mtoto
Kwakweli kuhusu ufeminist sijui coz alinambia anatamani familia japo ana kila kitu amelack familia so anatamani kuwa kama mimi..so nadhani kwa jibu hili sio feminist
Hahaha kampuni yake inahusika na mambo ya consultancy....alisomea BBA(Bachelor of B'ness Admn)ali opt kwenye Human resourceWhy problem ni umri? 31 ni mdada mbichi sana
Kampuni yake inahusika na nini?
Subiri nimscreenshotie mtu hapa
Rafiki yako ana weza kuanza mechi 2-0? 😅
Nimewajibu hahaShangaaa...wanajua natafuta mume
Ofcourse nitawapa namba..but kwa yule sincerely atakaenifata pm na kuona ataleast anamaanisha sio kutoa namba hapa...Utamkosesha mume mwenzio. U serious utaujua vipi kupitia comments.
Kwa waliokuomba namba wape, muache muhusika awe muamuzi wa yupi alie serious na yupi anataka kula mzigo tu.
Naamini atakuwa smart enough kulijua hilo. Na huwezi juwa, pengine wale mapepe ndio wakamvutia.
Hapa naona wote tuliojitokeza tumefocus kwenye kuila mbususu yake-mwenye kufocus na maisha
Nafikiri alimaanisha kampuni yake inaingiaje kwenye kutafuta mpenziHahaha kampuni yake inahusika na mambo ya consultancy....alisomea BBA(Bachelor of B'ness Admn)ali opt kwenye Human resource