Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri niandae essay la kufa mtu la kujielezea kwanini ni suitable candidate wa kuwa mwenza wake wa ndoa. Nitaelezea jinsi gani nitachangia kimawazo kuendeleza kampuni yetu, kuipeleka kimataifa.Ofcourse nitawapa namba..but kwa yule sincerely atakaenifata pm na kuona ataleast anamaanisha sio kutoa namba hapa...
Bado embe bichi Sana! La kulia na chumvi kabisaWhy problem ni umri? 31 ni mdada mbichi sana
Kampuni yake inahusika na nini?
Subiri nimscreenshotie mtu hapa
Rafiki yako ana weza kuanza mechi 2-0? 😅
Ana kampuni yakeAisee kwa hiyo huko mtaani Kazini hakuna kabisa wanaomtaka
Mwambie afunue Bible asome ISAYA 4:1 kwanza alafu alafu ajitafakari then... Aendelee kuchekaMtoto vipi? Wewe au yeye?yeye hana mtoto
Kwakweli kuhusu ufeminist sijui coz alinambia anatamani familia japo ana kila kitu amelack familia so anatamani kuwa kama mimi..so nadhani kwa jibu hili sio feminist
Sifa za mwanaume amtakae
-Yoyote mwenye kujielewa
-mwenye kufocus na maisha
-umri miaka 35 na kuendelea
-dini mkristo
Wadaku watakimbilia kazi...siku hizi baadhi ya wanaume wanatuaibisha kutaka kulelewaBasi mm ndo nimechemka hapo ni mm ndo nimemuandikia kuongeza manjonjo...kwa sababu ndo kazi yake..kumbe ningesema amejiajiri
Isaya 4:1Sawa
Chura ipo?Sifa zake
-Mweusi
-urefu Size ya kati
-Ana elimu ya degree
-Ana kampuni yake
-Ana maisha yake anajitegemea
-Ana hofu ya Mungu...
-Anaishi Dar es salaam
Bloodie usimwangushe rafiki yetuSawa
Ana kampuni yake
Asee una bahati Sana,nilitaka nikutag.Hahaha mbona sifa zote ninazi?.
Umeharibu hapo kqenye kampuni yake😁😁😁 (jknh)
We jamaa wewe[emoji28][emoji23]Wasomi huwa na sura personal, rejea mheshimiwa speaker[emoji1]
Hutaki kuwa mkurugenzi mwenza wa kampuni?Hahaha ujue Kalpana ni rafiki yangu...
NA anayetafutiwa namfahamu ni rafiki yetu...siwezi kufanya hivyo mukulu