Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Kila laheri mkuu.
Utapata chaguo la moyo wako
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Ni domo zege mtaani mpaka huku kunakohitaji keyboard tu?? Mnh......
 
Usiingie ndoani basi mkuu na wanawake wa mitandaoni mbona simple!!!...yaani ulivyoingia kwenye hii mada na michango yako kwenye hii mada hata wewe sio hazibandi matirio...
Ni haki yangu kama mwanaume kutimiza wajibu wangu wa hitaji la ndoa ingawa sio kwa aina ya wanawake wa mitandaoni ni heri ni kabaki single for a short time huku nikiendelea kutafuta yupi wakweli na sahihi kwenye mahusiano yangu hata kwenye malezi ya wanangu.
 
He goes beyond the limits mkuu...
Ukiwa unaoga, hasa hivi vyoo vyetu vya uswahili, umeweka nguo kwenye ukuta wa bafu kwa juu, akaja kichaa akachukua nguo zako na akakimbia nazo, ukimkimbiza huku upo uchi, wa mbele anajulikana kuwa ni kichaa wa kila siku, lakini wewe uliye nyuma utaonekana ni kichaa mpya..!! Tena afadhari wa mbele amekumbuka kuvaa nguo. Wewe wa nyuma utaonekana ni kichaa namba E na kimekupanda kiasi cha kutojua umuhimu wa kuvaa nguo..!!!
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Mbona haujaweka kigezo cha elimu kwa mwanaume anayemuhitaji?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom