Namtetea Mbowe, Chadema, Hakuna Ubaya Wowote, Mtu, Chama Kusaidiwa na Kupokea Fedha Zozote Toka Popote na Kwa Yeyote!. Sio Kila Pesa ni Rushwa!

Namtetea Mbowe, Chadema, Hakuna Ubaya Wowote, Mtu, Chama Kusaidiwa na Kupokea Fedha Zozote Toka Popote na Kwa Yeyote!. Sio Kila Pesa ni Rushwa!

Wanabodi
Merry Chritmas
Mjadala wa tuhuma za rushwa unaovurumishwa na Tundu Lissu, umezidi kushika kasi, tuhuma zilianzia majukwaani, sikahamia mitandaoni sasa zinaendelea kule tweeter.

Hivyo najitolea kumtetea Mbowe, Chadema, wengine wote wanaotuhumiwa kwa tuhuma za uongo na uzushi wa rushwa ya mtu na mama mtu.

Declaration of interest, mimi ni mpinzani mkubwa wa usultani wa uongozi kwenye vyama vya siasa, niliwahi kumuuliza Mfalme Cheyo wa UDP, Kayafa Lipumba wa CUF na hivyo siungi mkono Sultan Mbowe kugombea tena uenyekiti wa Chadema.

Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote kupokea fedha zozote kutoka kwa mtu yoyote au taasisi yoyote, sio kila fedha ni rushwa!.

Ili fedha zozote, kitu chochote au hata huduma yoyote, ili iwe ni rushwa, inategemea na madhumuni ya fedha hizo, kitu hicho au huduma hiyo, ndio itaamua kama ni rushwa, au ni charty tuu au ni takrima.

Chedema imewahi kupokea mamilioni ya mfanyabiashara Jaffary Sabodo, kwa madhumuni ya kujenga ofisi za makao makuu, fedha ilipokelewa yote, hakuna hata tofali au mfuko wa sementi ulinunuliwa, fedha yote na yote ilitafunwa, na hakuna tuhuma zozote za fedha hizo kuitwa rushwa kwasababu hizo ni fedha za charity.

Mbowe akiwa gerezani Segerea kwenye ile kesi, Chadema ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi, ilikuwa hoi bin taaban!, haikiweza hata kulipa watumishi wala kuendesha kikao cha Baraza Kuu.

Mbowe baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia kumsamehe na kumuachia, ila pia alilia shida, japo haikusemwa popote, lakini mara ghafla Chadema ikafufuka, mara ghafla wakapata pesa kuitisha Baraza Kuu, mara ghafla wakafanya ziara za nje ya nchi, ndipo yakaja maridhiano. Mbowe na Chadema walipokea fedha, hazikusemwa ila sio rushwa. Hakuna ubaya wowote Mbowe na Chadema kupokea fedha zozote kutoka popote. Hata CCM inapokea mafedha kibao kutoka kwa wafadhili mbali mbali, hadi nchi inapokea fedha kibao za wafadhili na sio rushwa!, sasa nongwa ya nini Mbowe au Chadema kupokea fedha za mtu na mama mtu?.

Kitu muhimu ni kufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni za fedha ikiwemo ku declare any monies received.

Siipendi kabisa hii Tabia ya Lissu kutaka kujihalalisha kwa kutumia uongo na uzushi wa rushwa, Lissu ajihalalishe kwa kuonyesha mapungufu ya Mbowe kuonyesha kuwa hana uwezo wa kufanya a,b na c na yeye anao uwwzo huo, ili kuwapa wajumbe sababu ya kutomchagua Mbowe kwa kupungukiwa uwezo na sio kumjengea chuki kwa kumzushia tuhuma za uongo za rushwa.

Lissu achaguliwe kwa kuonyesha uwezo sio kwa kuwazushia tuhuma wengine!.

Merry Christmas

Paskali
Hapa ndiyo umeuvaa uccm wako barabara,maana maccm wote wanaomtetea Mbowe siyo kama wanampenda, na ni hao hao waliokuwa wanamng'ong'a kwa kuendekeza usultani,lakini baada ya kuona ni nani anajiandaa kuchukua kijiti cha uenyekiti ghafla wote mumekuwa watetezi wa Mbowe kwani mlitegemea angeingia mtu ambaye mtamfanya kama mlivyomfanya Mbowe. Turudi kwenye suala la hela inayolalamikiwa,suala siyo hela bali madhumini ya hiyo hela jee inaingizwa Chadema na kwa wanachadema ili ifanye nini. Nafikiri wewe mwenyewe unaona madhara yaliyoletwa na hiyo hela haihitaji miwani kuona hili tifu linaloendelea Chadema kuhusiana na hela ya Abdul na Mama yake. Au Paschal hujaona kuwa lengo la hela ya Abdul limefikiwa kwa 75% hadi sasa?
 
Japo wewe uko ndani ya Chadema, wewe ni mdogo sana kujua mambo makubwa ya ndani!. Waulize viongozi wako fedha za kuendesha kikao cha Baraza Kuu zilitoka wapi?, zililetwa na nani Chadema, halafu mimi nitakuambia huyo aliyezileta Chadema, kazitoa wapi na kapewa na nani?. Niliwashauri, Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika! hivyo
Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
P
Huna na wala hujawahi kuwa na lolote
 
Wanabodi
Merry Chritmas
Mjadala wa tuhuma za rushwa unaovurumishwa na Tundu Lissu, umezidi kushika kasi, tuhuma zilianzia majukwaani, sikahamia mitandaoni sasa zinaendelea kule tweeter.

Hivyo najitolea kumtetea Mbowe, Chadema, wengine wote wanaotuhumiwa kwa tuhuma za uongo na uzushi wa rushwa ya mtu na mama mtu.

Declaration of interest, mimi ni mpinzani mkubwa wa usultani wa uongozi kwenye vyama vya siasa, niliwahi kumuuliza Mfalme Cheyo wa UDP, Kayafa Lipumba wa CUF na hivyo siungi mkono Sultan Mbowe kugombea tena uenyekiti wa Chadema.

Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote kupokea fedha zozote kutoka kwa mtu yoyote au taasisi yoyote, sio kila fedha ni rushwa!.

Ili fedha zozote, kitu chochote au hata huduma yoyote, ili iwe ni rushwa, inategemea na madhumuni ya fedha hizo, kitu hicho au huduma hiyo, ndio itaamua kama ni rushwa, au ni charty tuu au ni takrima.

Chedema imewahi kupokea mamilioni ya mfanyabiashara Jaffary Sabodo, kwa madhumuni ya kujenga ofisi za makao makuu, fedha ilipokelewa yote, hakuna hata tofali au mfuko wa sementi ulinunuliwa, fedha yote na yote ilitafunwa, na hakuna tuhuma zozote za fedha hizo kuitwa rushwa kwasababu hizo ni fedha za charity.

Mbowe akiwa gerezani Segerea kwenye ile kesi, Chadema ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi, ilikuwa hoi bin taaban!, haikiweza hata kulipa watumishi wala kuendesha kikao cha Baraza Kuu.

Mbowe baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia kumsamehe na kumuachia, ila pia alilia shida, japo haikusemwa popote, lakini mara ghafla Chadema ikafufuka, mara ghafla wakapata pesa kuitisha Baraza Kuu, mara ghafla wakafanya ziara za nje ya nchi, ndipo yakaja maridhiano. Mbowe na Chadema walipokea fedha, hazikusemwa ila sio rushwa. Hakuna ubaya wowote Mbowe na Chadema kupokea fedha zozote kutoka popote. Hata CCM inapokea mafedha kibao kutoka kwa wafadhili mbali mbali, hadi nchi inapokea fedha kibao za wafadhili na sio rushwa!, sasa nongwa ya nini Mbowe au Chadema kupokea fedha za mtu na mama mtu?.

Kitu muhimu ni kufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni za fedha ikiwemo ku declare any monies received.

Siipendi kabisa hii Tabia ya Lissu kutaka kujihalalisha kwa kutumia uongo na uzushi wa rushwa, Lissu ajihalalishe kwa kuonyesha mapungufu ya Mbowe kuonyesha kuwa hana uwezo wa kufanya a,b na c na yeye anao uwwzo huo, ili kuwapa wajumbe sababu ya kutomchagua Mbowe kwa kupungukiwa uwezo na sio kumjengea chuki kwa kumzushia tuhuma za uongo za rushwa.

Lissu achaguliwe kwa kuonyesha uwezo sio kwa kuwazushia tuhuma wengine!.

Merry Christmas

Paskali
Mkuu ni wewe uliyeandika hivi?
Unatakatisha fedha ambazo kila kitu saiv kipo uwanjani Tundu lisu amefafanua? Unamjibia mbowe kwenda Ikulu baada kutoka jela kwamba alienda kumshukuru mama na kumsalimia wakati mwenyewe hajaeleza hivyo hadi jana Lissu katoboa? rushwa hata uipake rangi na kuinukisha harufu nzuri kwa kiwango unadhan itabadilika?

Mwache mwenyewe mtuhumiwa mbowe aueleze umma kwanini alienda ikulu break ya mwanzo alipotoka jela kabla hata kuonana na mama watoto wake. hili jambo lipo mezani lakini pia afafanue kuhusu ile tuzo ya bawacha na vitenge kumbe haikua ajenda ya chama

unataka kumtilia Lissu maneno mdomoni kwamba hakutakiwa kupewa burungutu ili anyamaze?
 
Bro, katika maisha unaweza ukawa umeachive vitu vingi sana ikiwa pamoja na elimu ila kama ukikosa msimamo, wewe ni FAILURE katika maisha.

Ifike mahali Mzee Paskali amua moja hata wanaoamini vitabu wanasema mungu hapendi mtu KINYONGA. Mzee PASKALI wewe unakosa hata TEUZI kwakuwa u wavuguvugu unauma na kupuliza.Hakuna anayekuamini, wanafiki siku zote ni WASALITI. Na hakuna anayetaka kuwa karibu na MSALITI.

Ukiamua kula kula, ukiamua kufunga kula funga kula.Usitake uonekane mzuri kwa kila mtu.Huu ni UNAFIKI katika kilele chake.

Waswahili wanasema mtaka yote,mkosa yote!!!


# wewe mzee jiheshimu,kaa chini ujitafakari. Unazidi kujishushia heshima na kufanya hata hiyo elimu yako idharaulike.
 
Mimi ni chadema roho na kweli. Lisu anachokifanya cha kuwanaga wenzake si chema...
sikiliza clip hii nimeweka uzi kabisa juu yake

View: https://youtu.be/rTWpnMO7kto?si=54k-QsjtgmlxtnQw

Kuunga mkono maridhiano haihalalishi kwamba hata maridhiano yasipo tekelezwa basii usiyakatae , maridhiano nikteka na kuuwa wanachama wa upinzani ? Mnataka aendelee kukubaliana na maridhiano ya aina hivyo?
 
Bro, katika maisha unaweza ukawa umeachive vitu vingi sana ikiwa pamoja na elimu ila kama ukikosa msimamo, wewe ni FAILURE katika maisha.

Ifike mahali Mzee Paskali amua moja hata wanaoamini vitabu wanasema mungu hapendi mtu KINYONGA. Mzee PASKALI wewe unakosa hata TEUZI kwakuwa u wavuguvugu unauma na kupuliza.Hakuna anayekuamini, wanafiki siku zote ni WASALITI. Na hakuna anayetaka kuwa karibu na MSALITI.

Ukiamua kula kula, ukiamua kufunga kula funga kula.Usitake uonekane mzuri kwa kila mtu.Huu ni UNAFIKI katika kilele chake.

Waswahili wanasema mtaka yote,mkosa yote!!!


# wewe mzee jiheshimu,kaa chini ujitafakari. Unazidi kujishushia heshima na kufanya hata hiyo elimu yako idharaulike.
kama wewe unavyojishushia heshima, umeandika nini sasa ? Jibu hoja za pascal
 
Nakumbuka nikiwa kwenye utumishi kule, kwanza ukipokea zawadi yoyote lazima ukaiandikishe kwa mkuu kuwa nimepewa zawadi hii.

Lakini pia, kama zawadi hiyo thamani yake inazidi 50k ilikuwa lazima ukaikabidhi zawadi hiyo ofisi kuu wao ndio wataamua wafanye nini na hiyo zawadi.

Sababu ilikuwa moja, bila kujali malengo ya mtoa zawadi, kitendo cha wewe kupokea zawadi tayari unakuwa compromised. Yaani subconsciously utakuwa unawiwa kulipa fadhila kwa mtu huyo.

Hivyo basi, kama Mbowe na CDM wamepokea zawadi yoyote, walipaswa kuisema kwa wanachama wao, wamepokea kutoka kwa nani na malengo yake ni yapi.

Kisha 'zawadi' hiyo iingizwe kwenye mfuko wa chama na kupangiwa matumizi na chama. Tena ikiwezekana wale waliohusika kuipokea basi wasishiriki kwenye kupanga matumizi.

Mbowe amepungukiwa uadilifu. Lissu amepungukiwa hekima lakini ni bora mara 100 kuliko Mbowe. Upinzani utafika mbali chini ya Lissu kuliko ndumilakuwili Mbowe.
 
Paskali you are so cheap, hivi hujui hata sheria inayokataza kutakatisha pesa? Unahalalisha pesa kwa sababu aliyetoa pesa amekujaa moyoni uko tayari kuharibu credibility yako sababu utetee rushwa iliyosemekana kutoka kwa mama Abdul?

Hela yeyote chafu kwenye taasisi kama CHADEMA sababu inahisiwa kutoka CCM ni sawa?

Umejenga heshima yako jf kwa muda mrefu sasa unaiharibu haraka sababu ya uchawa, it's a pity.
 
Wanabodi
Merry Chritmas
Mjadala wa tuhuma za rushwa unaovurumishwa na Tundu Lissu, umezidi kushika kasi, tuhuma zilianzia majukwaani, sikahamia mitandaoni sasa zinaendelea kule tweeter.

Hivyo najitolea kumtetea Mbowe, Chadema, wengine wote wanaotuhumiwa kwa tuhuma za uongo na uzushi wa rushwa ya mtu na mama mtu.

Declaration of interest, mimi ni mpinzani mkubwa wa usultani wa uongozi kwenye vyama vya siasa, niliwahi kumuuliza Mfalme Cheyo wa UDP, Kayafa Lipumba wa CUF na hivyo siungi mkono Sultan Mbowe kugombea tena uenyekiti wa Chadema.

Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote kupokea fedha zozote kutoka kwa mtu yoyote au taasisi yoyote, sio kila fedha ni rushwa!.

Ili fedha zozote, kitu chochote au hata huduma yoyote, ili iwe ni rushwa, inategemea na madhumuni ya fedha hizo, kitu hicho au huduma hiyo, ndio itaamua kama ni rushwa, au ni charty tuu au ni takrima.

Chedema imewahi kupokea mamilioni ya mfanyabiashara Jaffary Sabodo, kwa madhumuni ya kujenga ofisi za makao makuu, fedha ilipokelewa yote, hakuna hata tofali au mfuko wa sementi ulinunuliwa, fedha yote na yote ilitafunwa, na hakuna tuhuma zozote za fedha hizo kuitwa rushwa kwasababu hizo ni fedha za charity.

Mbowe akiwa gerezani Segerea kwenye ile kesi, Chadema ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi, ilikuwa hoi bin taaban!, haikiweza hata kulipa watumishi wala kuendesha kikao cha Baraza Kuu.

Mbowe baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia kumsamehe na kumuachia, ila pia alilia shida, japo haikusemwa popote, lakini mara ghafla Chadema ikafufuka, mara ghafla wakapata pesa kuitisha Baraza Kuu, mara ghafla wakafanya ziara za nje ya nchi, ndipo yakaja maridhiano. Mbowe na Chadema walipokea fedha, hazikusemwa ila sio rushwa. Hakuna ubaya wowote Mbowe na Chadema kupokea fedha zozote kutoka popote. Hata CCM inapokea mafedha kibao kutoka kwa wafadhili mbali mbali, hadi nchi inapokea fedha kibao za wafadhili na sio rushwa!, sasa nongwa ya nini Mbowe au Chadema kupokea fedha za mtu na mama mtu?.

Kitu muhimu ni kufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni za fedha ikiwemo ku declare any monies received.

Siipendi kabisa hii Tabia ya Lissu kutaka kujihalalisha kwa kutumia uongo na uzushi wa rushwa, Lissu ajihalalishe kwa kuonyesha mapungufu ya Mbowe kuonyesha kuwa hana uwezo wa kufanya a,b na c na yeye anao uwwzo huo, ili kuwapa wajumbe sababu ya kutomchagua Mbowe kwa kupungukiwa uwezo na sio kumjengea chuki kwa kumzushia tuhuma za uongo za rushwa.

Lissu achaguliwe kwa kuonyesha uwezo sio kwa kuwazushia tuhuma wengine!.

Merry Christmas

Paskali
Shida siyo kupewa fedha, shida ni dhumuni la fedha unazopewa. Sasa mtu unaambiwa nakupa fedha ili usiiseme serikali! Hiyo ni fedha halali?
 
Ni pale mwana CCM anapojitokeza kutetea mambo asiyoyajua,hayamuhusu na hajaulizwa lakini yupo bize haswa!
 
Wanabodi
Merry Chritmas
Mjadala wa tuhuma za rushwa unaovurumishwa na Tundu Lissu, umezidi kushika kasi, tuhuma zilianzia majukwaani, sikahamia mitandaoni sasa zinaendelea kule tweeter.

Hivyo najitolea kumtetea Mbowe, Chadema, wengine wote wanaotuhumiwa kwa tuhuma za uongo na uzushi wa rushwa ya mtu na mama mtu.

Declaration of interest, mimi ni mpinzani mkubwa wa usultani wa uongozi kwenye vyama vya siasa, niliwahi kumuuliza Mfalme Cheyo wa UDP, Kayafa Lipumba wa CUF na hivyo siungi mkono Sultan Mbowe kugombea tena uenyekiti wa Chadema.

Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote kupokea fedha zozote kutoka kwa mtu yoyote au taasisi yoyote, sio kila fedha ni rushwa!.

Ili fedha zozote, kitu chochote au hata huduma yoyote, ili iwe ni rushwa, inategemea na madhumuni ya fedha hizo, kitu hicho au huduma hiyo, ndio itaamua kama ni rushwa, au ni charty tuu au ni takrima.

Chedema imewahi kupokea mamilioni ya mfanyabiashara Jaffary Sabodo, kwa madhumuni ya kujenga ofisi za makao makuu, fedha ilipokelewa yote, hakuna hata tofali au mfuko wa sementi ulinunuliwa, fedha yote na yote ilitafunwa, na hakuna tuhuma zozote za fedha hizo kuitwa rushwa kwasababu hizo ni fedha za charity.

Mbowe akiwa gerezani Segerea kwenye ile kesi, Chadema ilikuwa na hali mbaya sana kiuchumi, ilikuwa hoi bin taaban!, haikiweza hata kulipa watumishi wala kuendesha kikao cha Baraza Kuu.

Mbowe baada tuu ya kuachiwa, breki ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia kumsamehe na kumuachia, ila pia alilia shida, japo haikusemwa popote, lakini mara ghafla Chadema ikafufuka, mara ghafla wakapata pesa kuitisha Baraza Kuu, mara ghafla wakafanya ziara za nje ya nchi, ndipo yakaja maridhiano. Mbowe na Chadema walipokea fedha, hazikusemwa ila sio rushwa. Hakuna ubaya wowote Mbowe na Chadema kupokea fedha zozote kutoka popote. Hata CCM inapokea mafedha kibao kutoka kwa wafadhili mbali mbali, hadi nchi inapokea fedha kibao za wafadhili na sio rushwa!, sasa nongwa ya nini Mbowe au Chadema kupokea fedha za mtu na mama mtu?.

Kitu muhimu ni kufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni za fedha ikiwemo ku declare any monies received.

Siipendi kabisa hii Tabia ya Lissu kutaka kujihalalisha kwa kutumia uongo na uzushi wa rushwa, Lissu ajihalalishe kwa kuonyesha mapungufu ya Mbowe kuonyesha kuwa hana uwezo wa kufanya a,b na c na yeye anao uwwzo huo, ili kuwapa wajumbe sababu ya kutomchagua Mbowe kwa kupungukiwa uwezo na sio kumjengea chuki kwa kumzushia tuhuma za uongo za rushwa.

Lissu achaguliwe kwa kuonyesha uwezo sio kwa kuwazushia tuhuma wengine!.

Merry Christmas

Paskali
Paskal umeanza kunifanya nifikirie zaidi juu kauli yako kuhusu pesa,yaani mtu akupe tu pesa,hakuna pesa inayotolewa kwa mtu kama zawadi,pesa haikuwahi kuwa zawadi,pesa ya namna hii ni rushwa na pia kuna vitu vikitolewa kwenye mazingira fulani ni rushwa tu what connect between chadema and ccm people?
ccm wamekuwa hodari sana kwa kuhonga vyama,wenyeviti wa vyama ili kuviuwa vyama,so Lissu kwa sasa ni threat kwa ccm,Mbowe amekuwa msuruhishi zaidi kuliko kuwa mpinzani so hawa watu wanatoa pesa kumbakisha mbowe
 
Wewe Mzee kichwa kimeganda tembelea mbuga kipindi hiki ili uwe sawa maana vitu vingine unavyotetea ni hatari kwako na Taifa..
 
Wanabodi

Siipendi kabisa hii Tabia ya Lissu kutaka kujihalalisha kwa kutumia uongo na uzushi wa rushwa, Lissu ajihalalishe kwa kuonyesha mapungufu ya Mbowe kuonyesha kuwa hana uwezo wa kufanya a,b na c na yeye anao uwezo huo, ili kuwapa wajumbe sababu ya kutomchagua Mbowe kwa kupungukiwa uwezo na sio kumjengea chuki kwa kumzushia tuhuma za uongo za rushwa.

Lissu achaguliwe kwa kuonyesha uwezo sio kwa kuwazushia tuhuma wengine!.

Paskali
Kwamba alisikika Wenje, kutokea Arusha Lissu aliugua sana tumbo! Kwa maneno yake kuwa: "alikuwa ana drive."

Bila shaka alichokula Lissu alikula na wenziwe. Sasa kumbe vipi "food poisoning" kumuathiri mmoja tu katika kundi?!

Ogopa sana kanda ya ziwa na ile nyongo pendwa ya mamba!

View attachment 3187256

Kwamba alishambuliwa Lissu Dodoma? Kwamba alinusurika kwenye shambulizi lile? Kwamba leo ndiyo kejeli zao hizi?

Kumbe kwanini yasiwepo mawazo kuwa si angekuwa alijifilia mbali kwenye shambulio lile? Labda kwa jinsi ile ile ya kile chama chakavu?

Kama wishful thinking zao ndiyo hizi kulikoni kum exempt nani wapi?

Usalama wako kwanza kamanda, watu si wema.

Wanasema: "usoni kama watu."
MKuu Blaza Jei, brazaj , asante kwa bandiko hili Hongera Tundu Antipas Lissu kwa kutambua usalama wako unawajibika nao wewe mwenyewe, wengine wote hawaaminiki!
Japp naunga mkono hatua zozote mtu yeyote anazozichukua kulinda usalama wake,kwa mtu kuwa security conscious,ndio maana niliwalaumu kutochukua hatua madhubuti kulinda viongozi wake,Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

Lakini kauli hiyo ni moja ya kauli zake ropo ropo zinazomuonyesha alivyo na upungufu wa busara kumchafua Mbowe kuwa ni muuaji anaweza kumuua kwa sumu!。

Japo Mbowe aliishia Form IV na alipata ile divisheni ya vijana,lakini Mbowe sio kilaza,sio kichaa,sio mwendawazimu,hata kama kweli ni muuaji wa kichini chini, hawezi kufanya ujinga wa kupanga kumuua lissu,amualike nyumbani kwake, amuandalie chakula halafu akitilie sumu ampe Lissu sumu nyumbani kwake!。 Nasema big no!。
Hata ile siku anarudisha fomu,kitendo cha kwenda huku amevaa bullet proof ni mockery kwa Chadema wasije kumuua!。

Anachofanya Lissu ni utovu wa shukrani kwa Mbowe kwa jinsi alivyomtesekea kuokoa maisha yake。

Japo mimii ni supporter mkubwa Lissu humu jf
Lissu apunguze u ropo ropo, asimchafue Mbowe ili angalau aweze kupata japo kura
mbili!, vinginevyo...
Na Mbowe akionewa pia namtetea Namtetea Mbowe, Chadema, Hakuna Ubaya Wowote, Mtu, Chama Kusaidiwa na Kupokea Fedha Zozote Toka Popote na Kwa Yeyote!. Sio Kila Pesa ni Rushwa!
P
 
Back
Top Bottom