Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Kauli za unamjua baba yangu zipo katika maisha.. unanijua mimi nani?
Na huwa zinaangalia mazingira.
Either kwenye wema ni ili tuheshimiane au tusaidiane.
Kwenye ubaya ili uwe na hofu na mimi.
Hata ukiwa umelewa au kichaa..
kijana sio chizi huyo kama alitamba hadi matusi. There was something wrong somewhere and hakupendezwa nacho.
Simbachawene ni baba.. baba wa yoyote angesema maneno hayo. (Ila sio baba yangu😂😂😂).
Kinachoendelea sasa mzee atakua kashapata full story na huyo ni mwanae. Na kama wameongea.. trust me.


NO BODY WILL F***ck WITH THAT GUY.
Yameisha na polisi ndio wanamakosa.
 
Element bia za local Ni 5500 za njje Ni kunzia elf 8000. Dogo katoka asbh kaenda kubutua tozoo zetu na ikimbukwe hakuwa Pekee ake pale element atakuwa kaacha milioni kwaone night ambazo hakika Ni uhakika Nia tozo zetu katoka kuziponda

All in all maskar na yule mwenye passo ndoo alikuwa anaongea maneno yasio na stah na lema nae wachadema amekimbia Twitter kujifanya kuwayey anajuwa kulea na simbachawene alimlea mtot vibaya siyo kweli hata yet asubiri wanae wakue ndio atajuwa kuwa alikozea au kapatia


Pila lema asijisahau alivyo kuwa muhuni akiwa kolila high school na akiwa mjini Arusha kufanya utapeli wa magari asisahau Hilo je Ni kwamb wazazi wake walimlea vibaya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nilidhani "Element" ni kinywaji. Kumbe "Element" Ni Night Club.
Lakini akiebdesha while drunk ni kosa. He can harm others or harm himself.
Wanavyofanya hawa punks,walevi,siku hizi,Ni kwamba,wanaelewa halafu WANALALA Bar. Halafu asubuhi wanapokuwa sober,wanapenda nyumbani. Huyu jamaa alipaswa kufanya hivyo.
Lakini I agree with you. Simbachawe amnusuru huyu kijana,kwa sababu hakuna mtu aliyeumia pale. Na ukimdhalilisha huyu kijana,ukimtomasa huyu kijana huko mahabusu,unaichafua Serikali yote.
Lazima uelewe kuna Class Struggle na wapo watu wengi wanaweza kuwa na hamu ya kumdhuru Waziri.
Lakini hawa vijana wajihadhari na hiki kinywaji kinachoitwa "Spirit of the Nation" Hicho kinywaji mi hatari kwa taifa. Vijana wajihadhari na pombe kali.
 
Hapana hao askari ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askari wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askari alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askari alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Kwahiyo Watoto wa Viongozi ndiyo wanatakiwa kupewa Heshima na Kuogopwa, ila Sisi wa Makabwela tunatakiwa tudharaulike, tunyanyasike na tuteswe?

Huna Akili.
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Waziri Simba Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Naamini Jeshi la Polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chondechonde Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.



Wanatumia mbinu ya kumtia mtu hasira ili ureact uingie hatiani waanzie hapo
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Mkuu umemaliza!! The saga is closed!
 
Mtoto yuko sahihi kila alichofanya (maana alikua kalewa)

Polisi walikua na makosa mwanzo hadi mwisho (maana akili zao zilikua timamu)

Kila walichofanya walidhamiria na walifanya kwa nia flani,tofauti na mtoto naweza sema kila alichofanya ni effect za Pombe.
 
Mtoto yuko sahihi kila alichofanya (maana alikua kalewa)

Polisi walikua na makosa mwanzo hadi mwisho (maana akili zao zilikua timamu)

Kila walichofanya walidhamiria na walifanya kwa nia flani,tofauti na mtoto naweza sema kila alichofanya ni effect za Pombe.
Hakika baadhi ya askari ni waovu. Yaani ukikataa rushwa yaani kama huna cheo basi wanakubambikia kesi kubwa.
 
Mtoto yuko sahihi kila alichofanya (maana alikua kalewa)

Polisi walikua na makosa mwanzo hadi mwisho (maana akili zao zilikua timamu)

Kila walichofanya walidhamiria na walifanya kwa nia flani,tofauti na mtoto naweza sema kila alichofanya ni effect za Pombe.
Basi kosa linahamia kwenye kuendesha gari wakati umelewa[emoji28]
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Waziri Simba Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchokoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na alipokuwa nje, na je ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askari ili atoe rushwa ila baada ya hao askari kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?

Video uliyorekodiwa iko ki mkakati zaidi kwa sababu hakuna hata sehemu tumemsikia dogo akijitapa yeye ni mtoto wa Mh. Simbachawene.

Naamini Jeshi la Polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii.

Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.

Naamini Simbachawene atamlinda mwanae, akiwaachia hao askari Polisi wamshughulikie mwanae wanaweza kufanya yale ya Mtwara.

Chondechonde Simbachawene, hukupaswa kabisa kutoa ruhusa mwanao ashughulikiwe wanaweza kumuua ili wapoteze ushahidi maana mifano ipo mingi ya askari kuua watuhumiwa ili kuficha ushahidi.



Point kubwa sana Waziri anajikosha ili alinde kibarua chake anasahau kuwa uwaziri una mwisho Sasa subiri yamkute ndio atagundua kosa lake pole sana kijana
 
Mh. Simbachawene iwapo video ya kijana huyu kwenye press release ya polisi angekuwa kijana wako na wakamrekodo video fupi ya kumdhihaki na kumchokonoa ili atukane au aonekane mbishi na huku walishampiga huko nyuma na kaonesha ushirikiano je angeagiza ashughulikiwe
1661269520642.png
 
Mh. Simbachawene iwapo video ya kijana huyu kwenye press release ya polisi angekuwa kijana wako na wakamrekodo video fupi ya kumdhihaki na kumchokonoa ili atukane au aonekane mbishi na huku walishampiga huko nyuma na kaonesha ushirikiano je angeagiza ashughulikiweView attachment 2332656
Chawene amezingua sana.
Alitakiwa afike polisi na kumhoji kijana wake pamoja na hao askari angepata ujweli kabla hajamkaanga kijana
 
Wabongo bhana mtu kalewa wanataka iwe story kisa mtoto wa mkubwa mbona walevi bara barani kibao tuu na wanatukana yeyote bila kujali ni askari au balozi ili mradi ukanyage miguu yao tu...
Si ndiyo hapo....

Ova
 
Back
Top Bottom