Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Kauli za unamjua baba yangu zipo katika maisha.. unanijua mimi nani?
Na huwa zinaangalia mazingira.
Either kwenye wema ni ili tuheshimiane au tusaidiane.
Kwenye ubaya ili uwe na hofu na mimi.
Hata ukiwa umelewa au kichaa..
kijana sio chizi huyo kama alitamba hadi matusi. There was something wrong somewhere and hakupendezwa nacho.
Simbachawene ni baba.. baba wa yoyote angesema maneno hayo. (Ila sio baba yangu😂😂😂).
Kinachoendelea sasa mzee atakua kashapata full story na huyo ni mwanae. Na kama wameongea.. trust me.
NO BODY WILL F***ck WITH THAT GUY.
Yameisha na polisi ndio wanamakosa.
Na huwa zinaangalia mazingira.
Either kwenye wema ni ili tuheshimiane au tusaidiane.
Kwenye ubaya ili uwe na hofu na mimi.
Hata ukiwa umelewa au kichaa..
kijana sio chizi huyo kama alitamba hadi matusi. There was something wrong somewhere and hakupendezwa nacho.
Simbachawene ni baba.. baba wa yoyote angesema maneno hayo. (Ila sio baba yangu😂😂😂).
Kinachoendelea sasa mzee atakua kashapata full story na huyo ni mwanae. Na kama wameongea.. trust me.
NO BODY WILL F***ck WITH THAT GUY.
Yameisha na polisi ndio wanamakosa.