Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Bora umuache kuliko umuoe halafu uanze kumtesa, yaani ulitaka anywe chai ya rangi wakati yeye kazoea ya maziwa!
 
Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
xa ushasema kwao ni masikini alafu unalalamika akitumia hela hivyo wanawake wajue tu anaweza akanunua hayo alafu hela nyingne akatunza kwa matumizi yake ya mbele au akatuma nyumbani kiasi anawaza mbele sio kama wanaume tulivyo
 
Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
@dronedrake
 
Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Tafuta hela ngumbaru wewe
 
Vipi ndugu? Ulishamwacha? Kama tayari naomba namba yake ndugu, nitakulipa 50,000 yako aliyochezea ukinipa namba yake.
 
Bado namvumilia maana ni mtamu sana

Sasa mbona tumekupa ushauri umuache? Huyo atakutesa, anatufaa sisi ambao hatuoni gharama tukipewa raha, sio wewe unawaza gharama wakati unapata raha.
 
Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Tafuta pesa ndugu ndo dawa..
 
umeshasema kwao ni maskini. wala si mtumiaji mbaya wa pesa, anatuma kwao ili nao waishi.
Wanawake wabaya dsna aisee. Nakumbuka nlidate na mschana kwao makapuku maskini wa kutupwa wanakula mlo 1, mingine yote uji. Alivomaliza f4 nikampeleka university kusoma certificate ya uhasibu. Nikilipa kila kitu mm. Semester ya 1 alivokuja akat namrudisha akadai mafuta ya elf 50. Nikashtuka kwanza hata mwenyewe napaka ya elf 20. Nikamuuliza ya nn akasema yanasoftisha mwili tukabishana sana mwisho akachukia ikabidi niyanunue. Kumbe namnunulia apendeze ili atongozwe na wanaume miezi 3 mbele tuliachana baada ya kugundua nimekula block whatsap akisingizia simu kubwa imekufa.
 
Huyu mpezi wangu nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila nikiacha hela asubuhi, hata kama ni nyingi, lazima aitumie yote.

Mfano; Leo niliacha elfu 50 na ndani kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k. Lakini nimerudi nakuta imetumika yote.

Halafu vitu vinavyoonekana alinunua leo ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5. Eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani halafu kwao ni maskini, hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.

Nikimuuliza, ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Anatuma pesa kwao na amekuona huwezi kumuacha, piga chini mufilisi huyo, siwacheleweshagi mimi wajinga wa namna hiyo
 
Wanawake wabaya dsna aisee. Nakumbuka nlidate na mschana kwao makapuku maskini wa kutupwa wanakula mlo 1, mingine yote uji. Alivomaliza f4 nikampeleka university kusoma certificate ya uhasibu. Nikilipa kila kitu mm. Semester ya 1 alivokuja akat namrudisha akadai mafuta ya elf 50. Nikashtuka kwanza hata mwenyewe napaka ya elf 20. Nikamuuliza ya nn akasema yanasoftisha mwili tukabishana sana mwisho akachukia ikabidi niyanunue. Kumbe namnunulia apendeze ili atongozwe na wanaume miezi 3 mbele tuliachana baada ya kugundua nimekula block whatsap akisingizia simu kubwa imekufa.
Pole Sana brother.
 
Back
Top Bottom