Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Uliacha 50k ya nini na ndani kuna vitu vingi, acha kujaribu watoto wa watu.
 
Ilikuwaje bàada ya hapo.
 
mm binafsi,mwanamke anayefuja mali nitashindwa kwenda nae njia moja.

N kama utanichelewesha ninakokwenda kifedha

Hatonisaidia kukua kiuchumi

Atanfanya nfanye kaz kwa presha kubwa

Hivyo moja kat ya vigezo vyangu n kupata mwanamke kweny nidhamu ya fedha

NB.Jarbu kufundsha /kumuelekeza fedha inavyotakiwa kutumika kwa nidhamukama anafundshika vingnevyo aman ya moyo wako iamue….kumshaur mtu amuache mtu wake inaweza kuwa sio sahihi mana hawa watu wanameshirik mambo meng pamoja naelewa ilvyo ngumu kujitenga na mwanamke anayekuvutia kihisia ila tu baadh ya mambo mnatofautiana ambayo kimsing hayaonesh hatma njema…AMAN YA MOYO WAKO na iamue mkuu
 
Kama umemchoka tuachie sisi, tumle nyama mpaka mifupa sisi ndio mafisi..........

Tafuta hela mkuu 50 elfu n bei ya kiroba Cha unga walishe wambwa Kwa matajiri.
Anaye kupelekea moto atakua na kibamia
 
Cocoa, majani ya chai, na vitu unavyoviona hapo ndani, kanunua shemeji? Unataka muacha? That Woman is classy, na hana shida. Muelekeze tu, inatosha, anafaa huyo, ukishamwacha, please mpe namba yangu, au nipe yake. We mwache tu.
Acha kujikuta mwamba. Ungekua una umwamba huo usinge kuja jf kuomba namba za mademu walio kula wenzio....kifupi wewe ni looser mzee wa loose ball.
 
Pumbav kabisa tena ikiwezekana thread ifungiwe maana haina martini yoyote ni kupotezeana muda ,,, yani elfu hamsini nayo unaona hela , hiyo elfu hamsini akinunua nyanya na vitunguu si inaisha
Ungekua na uwezo na hiyo hela usinge tumia hicho kisimu
 
Ushauri mzuri sana.
Ubarikiwe sana
 
ikumbukwe hakuna mwanadamu asie na kasoro na mapungufu,nikusisitize usichoke kuwa na tunu za uvumilivu ,upo pale kukamilisha mapungufu ya mwenza wako, tumia busara za mazungumzo na maafikiano ili muende sambamba, Hasa hilo la kukupandishia kibezi aache mara moja ,ongea nae hakuna sehemu utapata aliekamilika asie na dosari wala doa...utaacha wangapi kijana?, kaa chini yajenge na mkeo ila kama anachepuka piga chini ila matumizi mabaya hata waungwana wanayo hasa matumizi mabaya ya muda.
 

Ukimpiga chini nitafute tuyajenge, matajiri km nyie mpo wachache sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kujikuta mwamba. Ungekua una umwamba huo usinge kuja jf kuomba namba za mademu walio kula wenzio....kifupi wewe ni looser mzee wa loose ball.

We ni fala kweli, kuna tuzo humu? Tunaandika vitu huku kufurahi, kwa hiyo wewe kenge unafikiri mimi nina shida na mwanamke huku? Shenzy kabisa.
 
Sasa na wewe mkuu kwa nini unamwachia hela yote hiyo...ulitaka aiangalie tu?! Basi usiwe unamwachia
 
Ushasema kwao ni masikini sasa unalalamika nini mkuu anatuma hela kwao kukidhi mahitaji ya nyumbani kwao kwa sababu ni masikini.
 
Umepiga kwenye mshono mkuu. Yaani malaya wanatuhamasisha tutafute hela then tuwapatie ili waturudishie upendo na vijana tulivyo malimbukeni tunaamini kwenye kununua upendo. Mtoa mada kama umeshamuelekeza na bado atii basi hapo hakuna mahusiano wewe katafute saizi yako na yeye akatafute size yake hiyo ndio win win situation mwambie asisubiri embe chini ya mnazi.
 
Fasta piga chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…