Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Asumaniiii! [emoji23]

Hivi kama kwenu ni masikini ndio hauruhusiwi kubadili status ya maisha yako ya mbele?

Anyways… mie ndio maana mtu akiniambia niache kazi tutagombana, hela ya cocoa tu masimango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo ujaomba Hela ya kusuka na akutoe out mbonaa utapigiwa mpk tarumbetaa na vikao vya familia vitaitishwa....

Km umemchoka tuachie cc..
 
Ni kweli Mungu hana agano na masikini👌
 
Wewe na huyo mwanamke wako na watoto wenu mnatakiwa kuzoea vitu kama hivyo, sijui maziwa, cocoa and stuffs… kusudi watoto wenu wasijepatwa na ulimbukeni wa kutumia hivyo vitu ovyo ovyo wakaenda kusimangwa kwa watu.

Hivyo ni vitu vya kawaida kila mtu anatakiwa avizoee.
 
Kama umemchoka tuachie cc ,tumle nyama mpk mifupa cc ndio mafic..........

Tafuta hela mkuu 50 elfu n bei ya kiroba Cha unga walishe wambwa Kwa matajiri.
Jamani, watu mna dhihaka. Jamaa anaomba ushauri alafu wewe unamkandia tu, kila mtu anaishi kwa urefu wa kamba yake.
 
mwanamke matunzo
mtunze vizuri, anone umgegede akiwa na steak

timua mjaza choo huyo, anakufilisi
 
Huna lolote wewe,tatizo JF kila mtu mtoto wa kishua,ushawahi kusikia watoto wa bakheresa wanajinadi kama Wana Hela?Kwa uandishi wako wewe inaonyesha kabisa umetoka familia duni,ndio maana unaona mtu kutumia 50 ni dhambi.
 
Tatizo linaanzia kwako usimlaumu huyo mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…