Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanavyokuwaga, yani yule ambaye kwao hamna kitu ndio wafujaji, sijui ni ulimbukeni auYaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Ulitakiwa uwe ushapiga chini muda mrefu mpaka sasa unawaza?Ndiyo nawaza nifanye hivyo
Mfundishe Bajeti tu!!Huyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Umeona eeeh shogaaa,?eti ghafla kila mtu ni Tajiri 🤣🤣🤣🤣🤣Jf bhana kila mtu ni tajiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutafute hela mamiiUmeona eeeh shogaaa,?eti ghafla kila mtu ni Tajiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Isipokuwa mimi tutuuuUmeona eeeh shogaaa,?eti ghafla kila mtu ni Tajiri 🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Hongera zake kupata bwana anayemwachia 50 per day hata kabla hajaolewa Wala kuzaa na huyo bwana.
Yani elfu 50 mtu anaanzisha thread. Angemnunulia Vitz si angeanzisha maandamano kabisa?Hongera zake kupata bwana anayemwachia 50 per day hata kabla hajaolewa Wala kuzaa na huyo bwana.
Babu naona unatoa maneno ya hekima😅Yani elfu 50 mtu anaanzisha thread. Angemnunulia Vitz si angeanzisha maandamano kabisa?
Hahahaaa.... Muonee huruma mwenzio.Km umemchoka tuachie cc....
Huruma n atuachie cc tu tumsaidiee mkuu..Hahahaaa.... Muonee huruma mwenzio.
Kabisaa🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutafute hela mamii