Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Simba yahitaji Total Overhaul kuanzia management, benchi la ufundi, wachezaji

Wachezaji wapo wengi ambao hawatufai, hivyo tuwateme wote na kuanza upya tukijipa miaka 2-4 ya kupanda kimataifa.

Wachezaji kama Kagere,Wawa, Mzamiru, Nyoni, Lwanga, Mkude, Sadio, Kibu, Mugalu, Bocco, Chama, Banda, Morison hawatufai kwa sasa

Hawa ndo wanatukamua sana kibajeti.
Hawa waondolewe kwa mikataba yao kuvunjwa na tukuze vipaji au tununue wachezaji wazuri kutoka hapo Kongo

Matola na makocha wenzake, Mkurugenzi Rwemamu, hawa waondolewe

Wanaohusika na Scouting waondolewe
 
86' Wametoka Onyango na Hussein na wameingia Wawa na Mhilu upande wa Simba SC

Namungo FC 2-2 Simba SC
 
Back
Top Bottom