Kibulungwe
Senior Member
- May 2, 2022
- 155
- 285
Tusubiri muda ufike, ndio maana nimesema Yanga wasipofikia levels za Simba kwenye hatua za makundi na robo fainali tutathibitisha Simba ndio timu bora Afrika Mashariki!Yanga haina timu ya kufika level hizo kimataifa