johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sas kama mkuu ashasema tz hamna korona hata wakipima wakakukuta nayo hawawezi kukuambia unayo.Tatizo na mashaka na vipimo vyetu kama wanapima au wanachukuwa pesa tu na ku save chem za kupimia wakiandika negative tu. ndio maana hata Dubai Tanzania wako katika list hata kama umeonesha umepima ukifika ni lazima upime tena ni kama vile hatuamini.
Kama hawa Angola wanaanza kuweweseka na Namungo tu,ingekuwa Simba wangetuambia wote Wana COVID-19/21 pumbavu hawana maana kabisaCaf ilishaweka taratibu na wachezaji waliotakiwa wakae karantini ni hao waliokutwa na co vid 19 sio wote hizo ni figisu za wazi kabisa
We nae jiongeze hizo ni figisu, hawa jamaa ata kaizer chief waliwafanyia figisu hizo.Tatizo na mashaka na vipimo vyetu kama wanapima au wanachukuwa pesa tu na ku save chem za kupimia wakiandika negative tu. ndio maana hata Dubai Tanzania wako katika list hata kama umeonesha umepima ukifika ni lazima upime tena ni kama vile hatuamini.
Ukienda nchi za watu fata sheria za nchi husika.Yaani hapa ni kuwaathiri kisaikolojia yaonyesha kitu walipanga kufanya.
Wasikubali vip wkt wako nchi nyingine? Watii sheria ya nchi waliyoikuta.NAMUNGO MSIKUBALI.
Kwanza Corona sasa hivi imekuwa sio ugonjwa wa mlipuko tena .ni kama malaria Tu.
Mbona hata sisi tulizuia wachezaji karibia 5 wa Platinum wasicheze kwa sababu za covid? Waliopatokana na covid wakae pembeni mbungi ipigwe kama kawaida.Nashauri vilabu vinavyoshiriki mechi za kimataifa kuwapima na kuwafungia kambini wachezaji kabla ya kuondoka kwenda nje kwa ajili ya mechi...ili tujue kama kweli kinachofanyika ni figisu ama la...kinyume na hapo hatuna haki ya kulalamikia figisu as hatuna uhakika kama ni kweli au la.
Hii sawa mkuu, kitoka Lindi Tanzania, siyo kutoka huko Lindi.Timu ya Namungo kutoka Lindi Tanzania imexuiwa kuingia nchini Angola ikidaiwa wachezaji watatu na kiongozi mmoja wana maambukizi ya Corona.
Timu hiyo imeamliwa kurejea ilikotoka na mamlaka za Angola.
Maendeleo hayana vyama!
COVID 19Hakuna Hapa TanzaniaTanzania hamna Corona, tulimuomba Mungu maombi ya siku tatu ikaisha chini ya jemedari John Pombe Joseph Magufuli.
Angola wasitujaribu.