johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Timu ya Namungo kutoka Lindi Tanzania imexuiwa kuingia nchini Angola ikidaiwa wachezaji watatu na kiongozi mmoja wana maambukizi ya Corona.
Timu hiyo imeamliwa kurejea ilikotoka na mamlaka za Angola.
Maendeleo hayana vyama!
Timu hiyo imeamliwa kurejea ilikotoka na mamlaka za Angola.
Maendeleo hayana vyama!