Kwanza hakuna kipimo cha dakika 2 hiyo rapid test tu dakika 15 cha dakika mbili labda hicho kipya cha wachina.Kumbe umejijibu mwenyewe hata hao Namungo wanaweza kuwa wamepata corona safarini. Hakuna limit mwisho kupata corona watu watatu juzi to Aston villa karibia first eleven yote corona cha ajabu nini.
sheria Inasemaje kama hao watatu wana corona basi match iendelee ? nKumbe umejijibu mwenyewe hata hao Namungo wanaweza kuwa wamepata corona safarini. Hakuna limit mwisho kupata corona watu watatu juzi to Aston villa karibia first eleven yote corona cha ajabu nini.
Hahaha we jamaa utakuwa mtu wa kigomaKumbe umejijibu mwenyewe hata hao Namungo wanaweza kuwa wamepata corona safarini. Hakuna limit mwisho kupata corona watu watatu juzi to Aston villa karibia first eleven yote corona cha ajabu nini
Akijibu nitag mkuusheria Inase
sheria Inasemaje kama hao watatu wana corona basi match iendelee ? n
Ndo kimetumika icho kwa Maelezo ya CEO wa namungoKwanza hakuna kipimo cha dakika 2 hiyo rapid test tu dakika 15 cha dakika mbili labda hicho kipya cha wachina.
Hii inaweza pia kuwa technic ya kuwatoa mchezoni
Bora wangetumia kinga.sio kwa upuuzi huu ulioandikaUsikute Yanga wametia mkono huko, wachawi sana hawa watopolo.
Makada kindakindakiBalozi anafanya kazi gani hili ndio tatizo la kuwapa watu ubalozi kwa hisani
Hamna cha maombi Corona ipo. Na inakula vichwa ipendavyoTanzania hamna Corona, tulimuomba Mungu maombi ya siku tatu ikaisha chini ya jemedari John Pombe Joseph Magufuli.
Angola wasitujaribu.
Sina uhakika na sheria za CAF ila league zingine muhimu uwe na wachezaji 14 lakini pia kuna mechi ulaya zimehamishwa viwanja vingine sababu ya sheria za nchi quarantine.sheria Inase
sheria Inasemaje kama hao watatu wana corona basi match iendelee ? n
Kakudanganya nani ?!. Corona ipo na inakula vichwaCOVID 19Hakuna Hapa Tanzania
Angola Watajuta Kwenye Hili Jambo
Ambassador Wetu, Alifanyie Kazi Hili Jambo
In accordance with the guidelines of the FIFA and CAF health protocols against CoVID-19 and for the resumption of competitions, players testing positive for the virus are not allowed to participate in matches. kwa mujibu mechi inachezwa ila wachezaji positive hawatashirikisheria Inase
sheria Inasemaje kama hao watatu wana corona basi match iendelee ? n
Walipimwa ila ni amri hakuna kutoa majibu +Waliondoka bila kupimwa? [emoji23][emoji1787]
Ndiyo ujue kujitolea kwetu kuzikomboa hizi nchi kulitutia hasara bure. Na daima shukrani ya punda daima ni matekeNafikiri balozi wetu huko yuko weak! How watu waliobeba bendera ya nchi wachezewe uhuni kama huu na mpaka sasa wahusika hawajalipa gharama?
Fukuza balozi wao wa hapa hadi waombe radhi! Zipo nchi za kututenda haya si Angola ambao tuna historia nao ndefu. Mbaya zaidi yanafanywa na jeshi ambao wanajua vizuri uhusiano na Tanzania. Hizi si rafu za uwanjani, hapa ni nchi inafanyia uhuni nchi nyingine.
Ajabu ni waTz kujifanya hatuna Corona .Kumbe umejijibu mwenyewe hata hao Namungo wanaweza kuwa wamepata corona safarini. Hakuna limit mwisho kupata corona watu watatu juzi to Aston villa karibia first eleven yote corona cha ajabu nini.
Unabisha nini wakati jembe, mtukufu, kiongozi wa malaika Dk John Pombe Joseph Magufuli amesema haipo.Hamna cha maombi Corona ipo. Na inakula vichwa ipendavyo
COVID 19Hakuna Hapa Tanzania
Angola Watajuta Kwenye Hili Jambo
Ambassador Wetu, Alifanyie Kazi Hili Jambo