Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Ukijitahidi kutokumheshimu mwanaume, utaachana nae na utampata mshenzi zaidi yake, na by the way anabeba mamlaka ya kiMUNGU aliyopewa kama mwanaume, tatizo ni moja tu kwamba utandawazi umewaharibu sana wanawake,yuko mtu anamhudumia mwanamke, anamlipia Kodi na pesa ya chakula, lakini huyo mwanamke ni mbabe mbabe mwenye kauli mbovu pale anapoulizwa hata tu mbona hajapokea simu zaidi ya masaa matatu, anakuja juu, anakata simu, anajifanya mjuaji na hana ujuaji wowote, anatoka familia masikini, hana kazi ya kueleweka, yaani ni mshenzi mshenzi sana, wanawake wengi wanaposemaga kua ntamblock mwanaume hua ni kiburi tu Cha kwamba wanaume wako wengi na anatongozwa kila siku, sasa utakua na wanaume wote? Heshimu wanaume mnaokua nao na aachecheni ujinga na ulimbukeni wa "NINA KAZI YANGU" sijui mala "NIMESOMA ASINIBABAISHE" mmejaa ujinga ujinga tu
 
Sijaona sababu ya wewe kuanzisha huu uzi
Mbona Uzi unaenda vizuri ujue alikuwa na sababu na ndo content zinazofurahiwa humu( halafu kwa ushauri usipende kukatisha wenzio ameandika ili kuona Kama yupo Sahihi wewe eti hujaona sababu
 
Umeongea kwa hisia mkuu.
Nimekuelewa.🙏
Kumuheshimu ni wajibu wangu.
Sitaacha

Kwa upande wangu block sio kiburi bali nakua nimechoka mauzauza mkuu.
 
Hawezi kuwa na michepuko.
Ananipenda sana.
Namuamini.
Na kama kumtii mwanaume wangu ni undondocha haina shida dini yangu imenifundisha kuwatii wanaume na ndio maana naogopa hata kumjibu vibaya
Na wewe muongo Sasa Kama kwa sms unaweza mjibu what the difference
 
Mbona Uzi unaenda vizuri ujue alikuwa na sababu na ndo content zinazofurahiwa humu( halafu kwa ushauri usipende kukatisha wenzio ameandika ili kuona Kama yupo Sahihi wewe eti hujaona sababu
Hajui kuwa sometimes mtu unaomba ushauri ukiwa tayari unajua jibu ila unataka tu kusikia mitazamo ya wengine ili kupata uhakika wa ambacho tayari unajua ila huna uhakika nacho
 
Na wewe muongo Sasa Kama kwa sms unaweza mjibu what the difference
There is a difference mkuu!
Niko huru kwenye text kuliko kwenye kuongea kwa sauti.
Ila sio kama namtext matusi au maneno machafu.
 
Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...
 
Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...
Yawezekana ni kweli nimempenda hadi sijielewi ila unataka niseme ni katili wakat sio?
Na ningekua nimelogwa nisingekua nafikiria kusepa.
Mim mtu akizingua mawazo ya kumuacha ni dk 1 tu na nikibaki ninakua nimeamua tu kuvumilia nikiwa na akil zangu
 
Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...
Yawezekana ni kweli nimempenda hadi sijielewi ila unataka niseme ni katili wakat sio?
Na ningekua nimelogwa nisingekua nafikiria kusepa.
Mim mtu akizingua mawazo ya kumuacha ni dk 1 tu na nikibaki ninakua nimeamua tu kuvumilia nikiwa na akili zangu.
 
Umeongea kwa hisia mkuu.
Nimekuelewa.[emoji120]
Kumuheshimu ni wajibu wangu.
Sitaacha

Kwa upande wangu block sio kiburi bali nakua nimechoka mauzauza mkuu.
Basi katafute Dunia yako ya kuishi ili usikutane na unacho kutana nacho maana hakikwepeki hapa Duniani iwe kwa huyo au Kwa mwingine
 
Kuna jambo ambalo ulilifanya ukijuwa kwamba siyo sawa lakini ukalifanya bila yeye kujuwa hivyo unapomsikia unapata huna nguvu ya nafsi kwa sababu kuna jambo umelificha.
 
Basi katafute Dunia yako ya kuishi ili usikutane na unacho kutana nacho maana hakikwepeki hapa Duniani iwe kwa huyo au Kwa mwingine
Si bora mtu akublock kuliko maugomvi na matusi juu ndo ujue kakuchoka?

Mimi mwanaume akishanivua nguo ntaendelea kumuheshimu hata tukiachana so ni bora block kuliko wale wanaochana vibaya kwa matusi na kashfa.
 
Kuna jambo ambalo ulilifanya ukijuwa kwamba siyo sawa lakini ukalifanya bila yeye kujuwa hivyo unapomsikia unapata huna nguvu ya nafsi kwa sababu kuna jambo umelificha.
Sina lolote baya nimewahi mfanyia mkuu.
Im a very loyal woman.
Nikipenda huwa sitizami pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…