Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Hapo Sawa.Im a lady
Ni sahihi wewe umpe Heshima yeye akupe Upendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Sawa.Im a lady
mmeachana sana kiumri??Kimbola ndo nin?
Kama.ni uchawi namtetea.
Ni Mdada huyo KiongoziWoga huo utaendelea hadi kitandani.ukimuoa utakuwa huna sauti ya mamlaka juu yake.....sijasema muachane
Kwa nini sasa huwa unawaza kublock namba yake anapokuzingua?He is the one and only
Wewe ni KE au ME?
Mwandiko na content havishahabiani hata Kidogo.
mmeanza 😂Mwandiko umekaa kiume
mmeanza [emoji23]
Kwa hiyo sina kasoro mkuu?Ndo inavotakiwa kuwa ww ulitaka uwe mkali umekuwa mwanaume
Less than a yearUmekaa nae muda gani hadi leo?
Wanawake kama wewe huwa wanaitwa vindondocha. Huwa kazi yao ni kutii kila anachoambiwa na mumewe halafu mapenzi na waume zao huwa hayanogi kitu kinachofanya wanaume kupenda mchepuko zaidi na kuwaacha wake zao kama vyombo vya kuzaa.Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae.Akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Basi sawaSi wewe tu
Thanks ila huyu ndo alonipangia MunguOhhh njoo kwangu utajiamini na woga utakwisha kabisa kama wewe ni KE lakini [emoji851][emoji851]
Huko kitandan kama sina mamlaka si yeye anayo ?Woga huo utaendelea hadi kitandani.ukimuoa utakuwa huna sauti ya mamlaka juu yake.....sijasema muachane
Hapana.mmeachana sana kiumri??
Hasira😂Kwa nini sasa huwa unawaza kublock namba yake anapokuzingua?