Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Hilo Linaitwa Uno sogodu dada yetu Kapigwa,Sifa ya Uno Sogodu Lazima Usikie sauti Ya Mamlaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mkuu hajui tu😂Unampenda Sana Shem wetu......
Thanks but no thanksMavitu gani mkuu? this is not withcracft
Enjoy your tyme bibie maana mapenzi bhana ni kama gwaride😂 ndo hivyo
yeah😂aisee... nyie ndo wale wa 'ride or die' 😂
Ndio siamini.afu unasema huamini vimbwata😂
si unaelewa lakini nothing is guaranteed 😂yeah😂
Lapyu🥰Thanks but no thanks
Umesema hawezi kuwa na michepuko, unanifurahisha kweli we mwanamkeHawezi kuwa na michepuko.
Ananipenda sana.
Namuamini.
Na kama kumtii mwanaume wangu ni undondocha haina shida dini yangu imenifundisha kuwatii wanaume na ndio maana naogopa hata kumjibu vibaya
Say it again mkuu.Hide hiyo weakness yako akijua umeisha
Ni kawaida sana.Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae.Akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Daaah wanawake km weww wenye upendo walishabakia 1 in a million. Namwonea wivu mshkajiHello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae.Akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Sio kweli😂Hilo Linaitwa Uno sogodu dada yetu Kapigwa,Sifa ya Uno Sogodu Lazima Usikie sauti Ya Mamlaka
Hiyo ndo maana halisi ya mwanamke. Ukijiona hauwezi kumilikiwa na mwanaume basi wewe huyo ni mwanaume mwenzakoHiyo ndio maana halisi ya kudata yani umekufa umeoza juu yake.
Na Kiasili wanaume tunapenda kuheshimiwa.Daaah wanawake km weww wenye upendo walishabakia 1 in a million. Namwonea wivu mshkaji
Nakataa hiyo roho ya nyuma geuka kwa jina la Yesu😂.Enjoy your tyme bibie maana mapenzi bhana ni kama gwaride
Unless is granted from heaven😂si unaelewa lakini nothing is guaranteed 😂