Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Usijali familia za ki Chief huwa iko hivyo mtu anaweza kuongea kawaida tu lakini ukasikia kama Ghost linaunguruma ana hivyo vinasaba muulize.
Alafu mchukulie poa tu haumizi huyo.
 
Usijali familia za ki Chief huwa iko hivyo mtu anaweza kuongea kawaida tu lakini ukasikia kama Ghost linaunguruma ana hivyo vinasaba muulize.
Alafu mchukulie poa tu haumizi huyo
 
Wanawake kama wewe huwa wanaitwa vindondocha. Huwa kazi yao ni kutii kila anachoambiwa na mumewe halafu mapenzi na waume zao huwa hayanogi kitu kinachofanya wanaume kupenda mchepuko zaidi na kuwaacha wake zao kama vyombo vya kuzaa.
Hawezi kuwa na michepuko.
Ananipenda sana.
Namuamini.
Na kama kumtii mwanaume wangu ni undondocha haina shida dini yangu imenifundisha kuwatii wanaume na ndio maana naogopa hata kumjibu vibaya
 
Zingatia hiyo sentensi ya mwisho ndivyo ulivy😵mba Mungu usivute bangi na kubadilika.
Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae.Akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
 
Tumia chumvi ya mawe kwa kuchoma, kuogea na iyeyushe kwenye maji uwe unajipaka na mafuta ya mgando.

itakuondolea huo wasiwasi si kwa boy wako tu bali kwa vitu vingi.
No thanks mkuu,siamini katika hayo mavitu.
Najiamin sana
 
Usijali familia za ki Chief huwa iko hivyo mtu anaweza kuongea kawaida tu lakini ukasikia kama Ghost linaunguruma ana hivyo vinasaba muulize.
Alafu mchukulie poa tu haumizi huyo.
Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.
Wazungu huwa wanaamin kabla ya maisha haya tulishaishi maisha mengine tukiwa watu wengine.Kama ni kweli basi nahisi huyu alikua mtawala aliyeheshimika na kuogopewa
 
Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.
Wazungu huwa wanaamin kabla ya maisha haya tulishaishi maisha mengine tukiwa watu wengine.Kama ni kweli basi nahisi huyu alikua mtawala aliyeheshimika na kuogopewa
afu unasema huamini vimbwata😂
 
Back
Top Bottom