Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
- #41
Na angekua na mawazo machafu kama yako.hata kuku wasingemuheshimuWatu kama nyinyi kuliwa jicho na wapenzi wenu sio kazi ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na angekua na mawazo machafu kama yako.hata kuku wasingemuheshimuWatu kama nyinyi kuliwa jicho na wapenzi wenu sio kazi ngumu
Nenda ukaonane na washauri wa mahusiano..... tatizo lako ni la ajabu....Hapana.
Living in Buza with him my life will be more glamorous than living in Ibiza without him.Vipi akikwambia muhamie buza utamtii pia
Mmh dada mtandaoni hivi irl upoje, acha au punguza dharau kuna siku itakucost pakubwaPicha ya huyo bwana anayekutetemesha iko wapi?
Usikute ni tule twembamba, tweusi kananyoa punk halafu kanatumia iphone 6.
Nyie nyie nyieLiving in Buza with him my life will be more glamorous than living in Ibiza without him.
I love the guy.
Hawezi kuwa na michepuko.Wanawake kama wewe huwa wanaitwa vindondocha. Huwa kazi yao ni kutii kila anachoambiwa na mumewe halafu mapenzi na waume zao huwa hayanogi kitu kinachofanya wanaume kupenda mchepuko zaidi na kuwaacha wake zao kama vyombo vya kuzaa.
Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae.Akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
No thanks mkuu,siamini katika hayo mavitu.Tumia chumvi ya mawe kwa kuchoma, kuogea na iyeyushe kwenye maji uwe unajipaka na mafuta ya mgando.
itakuondolea huo wasiwasi si kwa boy wako tu bali kwa vitu vingi.
Mavitu gani mkuu? this is not withcracftNo thanks mkuu,siamini katika hayo mavitu.
Najiamin sana
Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.Usijali familia za ki Chief huwa iko hivyo mtu anaweza kuongea kawaida tu lakini ukasikia kama Ghost linaunguruma ana hivyo vinasaba muulize.
Alafu mchukulie poa tu haumizi huyo.
aisee... nyie ndo wale wa 'ride or die' 😂Living in Buza with him my life will be more glamorous than living in Ibiza without him.
I love the guy.
afu unasema huamini vimbwata😂Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.
Wazungu huwa wanaamin kabla ya maisha haya tulishaishi maisha mengine tukiwa watu wengine.Kama ni kweli basi nahisi huyu alikua mtawala aliyeheshimika na kuogopewa
😂 ndo hivyoNyie nyie nyie