Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
Mtaachana tu...no mara waaNakataa hiyo roho ya nyuma geuka kwa jina la Yesu😂.
Mim na yeye ni mbele kwa mbele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaachana tu...no mara waaNakataa hiyo roho ya nyuma geuka kwa jina la Yesu😂.
Mim na yeye ni mbele kwa mbele tu
Kweli hachepuki mpenzi wangu.Umesema hawezi kuwa na michepuko, unanifurahisha kweli we mwanamke
haya endelea kubebika... ila don't keep your hopes up... hivi vitu havitabiriki 😂Unless is granted from heaven😂
Sasa mwanamke ulitaka uwe na kibesi kwa mwanaume wako ugundue Nini? Kwahiyo kuwa mnyenyekevu unaona kama umelogwa? Huo ndio umwanamke na inaonyesha unampenda kwahiyo ukae kwa kutuliaHello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Yeye ni binadamu hawez kukosa madhaifu ila sidhan kama nitamzoea hadi nimuone mtu wa kawaidaNi kawaida sana.
Muhimu sana umzoee as ukija kujua udhaifu wake unaweza kuwa disappointed sana
hicho ki-emoji kimefichua ukweli wote.... 😂Sio kweli😂
Jipe muda.Yeye ni binadamu hawez kukosa madhaifu ila sidhan kama nitamzoea hadi nimuone mtu wa kawaida
Na wewe ni kijana cheusi mangala chembamba?Mmh dada mtandaoni hivi irl upoje, acha au punguza dharau kuna siku itakucost pakubwa
Barikiwa sana kwa ushauri mkuu.JF siku hizi ni pakifoo sana...Wengi ni waovu na wenye ushauri wa hovyo sana...
Wewe ni KE umesema niombe nikusihi jambo lenye utulivu sana kwakuwa umempenda kweli mwenzio jaribu kumuelekeza wapi unapohisi anakosea upande wako....Na ukiona haelewi wala kukusikiliza chukua tahadhari mapema na kushirikisha upande wake wa pili/wazazi wake ikiwa wanatambua uhusiano wenu unless hapo mtadanganyana na mapenzi ya utoto tu!
Wala usijali ila zingatia ushauri niliokupa pengine usikufae leo ukakufaa siku zijazoNa wewe ni kijana cheusi mangala chembamba?
Pole sana kwa kuumiza hisia zako, nilikua natania
Transgender?Mimi ni mwanamke
Kwenye maisha yako,Kuna mtu alikuwa na saut kama ya dear wako,ulikuwa unamuogopa,inawezekana ni baba,kaka,ndugu,Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Chagua moja kusuka au kunyuoa! Kwani huyo ni wakwako try to handle him in a difficult situation atakuelewa tu...Acha papara za kuhisi ni mkali sana tambua ni baba ajae kwenye familia yako wekeza upendo wako naamini na yeye ataskia matendo yako pasipo Kelele!Barikiwa sana kwa ushauri mkuu.
Akijua amekosea huwa anajishusha na anaomba msamaha sema kuna wakati mimi nabaki na dukuduku moyoni sbb yakukosa ujasiri wa kusema yote.Na anapokua mkali naishia kunyamaza na anapomaliza kuongea naogopa kuendelea kuongea then maisha yanasonga
Inawezekana kama Mungu ana package bora zaid kwa ajil yanguMtaachana tu...no mara waa