Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Sasa mwanamke ulitaka uwe na kibesi kwa mwanaume wako ugundue Nini? Kwahiyo kuwa mnyenyekevu unaona kama umelogwa? Huo ndio umwanamke na inaonyesha unampenda kwahiyo ukae kwa kutulia
 
JF siku hizi ni pakifoo sana...Wengi ni waovu na wenye ushauri wa hovyo sana...

Wewe ni KE umesema niombe nikusihi jambo lenye utulivu sana kwakuwa umempenda kweli mwenzio jaribu kumuelekeza wapi unapohisi anakosea upande wako....Na ukiona haelewi wala kukusikiliza chukua tahadhari mapema na kushirikisha upande wake wa pili/wazazi wake ikiwa wanatambua uhusiano wenu unless hapo mtadanganyana na mapenzi ya utoto tu!
Barikiwa sana kwa ushauri mkuu.
Akijua amekosea huwa anajishusha na anaomba msamaha sema kuna wakati mimi nabaki na dukuduku moyoni sbb yakukosa ujasiri wa kusema yote.Na anapokua mkali naishia kunyamaza na anapomaliza kuongea naogopa kuendelea kuongea then maisha yanasonga
 
Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Kwenye maisha yako,Kuna mtu alikuwa na saut kama ya dear wako,ulikuwa unamuogopa,inawezekana ni baba,kaka,ndugu,
 
Barikiwa sana kwa ushauri mkuu.
Akijua amekosea huwa anajishusha na anaomba msamaha sema kuna wakati mimi nabaki na dukuduku moyoni sbb yakukosa ujasiri wa kusema yote.Na anapokua mkali naishia kunyamaza na anapomaliza kuongea naogopa kuendelea kuongea then maisha yanasonga
Chagua moja kusuka au kunyuoa! Kwani huyo ni wakwako try to handle him in a difficult situation atakuelewa tu...Acha papara za kuhisi ni mkali sana tambua ni baba ajae kwenye familia yako wekeza upendo wako naamini na yeye ataskia matendo yako pasipo Kelele!
 
Back
Top Bottom