Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
- #121
Pm yangu imefungwa aroo labda waruke ukuta.Hapa hakuna mwanamke. Kuna jitu litapeleka bezi lake PM. Atalizwa mtu nawaambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm yangu imefungwa aroo labda waruke ukuta.Hapa hakuna mwanamke. Kuna jitu litapeleka bezi lake PM. Atalizwa mtu nawaambia
Muelewe na ujitahidi kuweka heshima mbele sana kwa huyo mwenzio kwani anatambua uzuri ulionao ila hawezi zuia wivu alionao kwako hata kusababisha maelewano hafifu baina yenu lkn wewe kama mama kiungo shikilia upendo amani ndani ya nyumba yeye atakuja kwako akinyenyekea huo upendo na uvumilivu ulionyesha na kutenda vyema kwake!amen mkuu.
Copied
Ni hivyo mi nimekaa na watu juzi tu nikaambiwa naunguruma na kupiga makelele huku tunaongea tu.Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.
Wazungu huwa wanaamin kabla ya maisha haya tulishaishi maisha mengine tukiwa watu wengine.Kama ni kweli basi nahisi huyu alikua mtawala aliyeheshimika na kuogopewa
Huna cha kunishauri Lumbi, tupo kwenye mitandao usijifanye unawajua watu kuliko uhalisia, wewe kama umeguswa kunywa maji mengi pita kimya kimya.Wala usijali ila zingatia ushauri niliokupa pengine usikufae leo ukakufaa siku zijazo
Unanifatilia sana ndio wale mafukara mliokimbizwa kwenye ule msiba eehIgnore tu huyo yupo upinde mkuuu
SawaHuna cha kunishauri Lumbi, tupo kwenye mitandao usijifanye unawajua watu kuliko uhalisia, wewe kama umeguswa kunywa maji mengi pita kimya kimya.
Kuna wakati unaweza ukawa na maradhi na ukajihisi upo sawa. Unaweza ukalogwa na usijue kua umelogwa.Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Feminist njooni muone hukuHawezi kuwa na michepuko.
Ananipenda sana.
Namuamini.
Na kama kumtii mwanaume wangu ni undondocha haina shida dini yangu imenifundisha kuwatii wanaume na ndio maana naogopa hata kumjibu vibaya
Jipe muda.Kwa alivyo na misimamo hata ningekua bakhresa kipato hakiwez kumyumbisha.
Kwanza nikimzingua hajali kuwa mim ni boss kazin kwangu wala nini ni mwendo wakufokewa hadi ulie kama mtoto.
Na sio kama hana kipato.
Ana kazi nzuri tu,hapa naandika yuko zake angan huko safar ya kikaz na siku zote ananichukulia kama sina kipato na hajawahi kula hata mia yangu.Ni type ya wanaume masikin jeuri hababaishwi na hela ya mtu
Si ndo maana ni mbabe..hata mimi akati nasoma nilishindwa kujua huyu ni Ke au Me mpaka hapo mwishoni aliposema ni mwanamke.Mwandiko umekaa kiume
UmerogwaKwa hiyo sina kasoro mkuu?
Lakin si inashauriwa kwenye mahusiano pakiwa na shida mkae muyaongee?Sasa mim nabakia kulia tu au kuitikia tu,hata kumbishia siwezi au hata kumkatisha akiwa anaongea siwezi hata kama nina hasira na unakuta nina vitu nataka kusema.Nikikabwa sana nakimbilia kumuandikia sms kwa mdomo siwez kumwambia.Na akikasirika ni mkali hata ukilia hajali
[emoji419][emoji419][emoji419]Ndo inavotakiwa kuwa ww ulitaka uwe mkali umekuwa mwanaume
Naanzaje sasa dear😂Na kumuacha huweziii
Naamin nitaleta mrejesho wa happy ending😂Jipe muda.
Usiache kuja hapa kutoa mrejesho.
Kumbe ndo mnavyopenda😂Mbona hiyo ndio nzuri kwa mwanamke