Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtu wako wa kwanza? Kama wa kwanza lazima u experience hii kitu.Less than a year
Penzi langu limejengwa juu ya mwamba..Mwamba ni Yesu hata ije dhoruba hatutatikisika..acha kunitisha😂haya endelea kubebika... ila don't keep your hopes up... hivi vitu havitabiriki 😂
Sipendi hali ya kuwa bubu ilhal nina nyongo moyoni nataka kuzitoaSasa mwanamke ulitaka uwe na kibesi kwa mwanaume wako ugundue Nini? Kwahiyo kuwa mnyenyekevu unaona kama umelogwa? Huo ndio umwanamke na inaonyesha unampenda kwahiyo ukae kwa kutulia
Ukweli gan mkuuhicho ki-emoji kimefichua ukweli wote.... 😂
kwamba kijana wetu amekupiga 'uno sogodu' mpaka ukaogopa 😂Ukweli gan mkuu
Ignore tu huyo yupo upinde mkuuuMmh dada mtandaoni hivi irl upoje, acha au punguza dharau kuna siku itakucost pakubwa
Kwa alivyo na misimamo hata ningekua bakhresa kipato hakiwez kumyumbisha.Jipe muda.
Labda msi ishi pamoja.
Tena huyo unayemzidi kipato?
Ni swala la Muda.
Kama Caitlyn Jenner?😂Transgender
Sijalogwa sbb hana sbb ya kunilogaUmethibitishaje kama hujalogwa ama hajakuloga...........
Ukijibu kwa usahihi hili swali,nitakufafanuli kitu.
Cha kushangaza mkuu sijawahi kuwa na mtu mwenye kauli juu yangu hapo mwanzo.Kwenye maisha yako,Kuna mtu alikuwa na saut kama ya dear wako,ulikuwa unamuogopa,inawezekana ni baba,kaka,ndugu,
Standard.Naamini jamaa yupo njema sana kunako ulingoni.
amen mkuu.Chagua moja kusuka au kunyuoa! Kwani huyo ni wakwako try handle him in a difficult situation atakuelewa tu...Acha papara za kuhisi ni mkali sana tambua ni baba ajae kwenye familia yako wekeza upendo wako naamini na yeye ataskia matendo yako pasipo Kelele!
So far najua huwa ananiombea sana ila ikitokea nikafuma namba ya mganga nitakupatiaUngeweka na namba ya mganga wake ungekuwa umefanya wema mkubwa sana ,tuibie notes zake mkuu
Tupo chini ya miguu yako
Hapana.Ni mtu wako wa kwanza? Kama wa kwanza lazima u experience hii kitu.
Story of my life😂.Umenikumbusha na wa kwangu tukiwa tunachat nikimkera anakuaga mkali kwenye sms ila nikimpigia simu au tukiwa live tuyamalize maneno yote yanamuisha Yani anakuwa siyo yule wa kwenye sms.....hii inafanya hata ugomvi uwe mkubwa vipi ,na solve kwa muda mfupi