Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Ndo inavotakiwa kuwa ww ulitaka uwe mkali umekuwa mwanaume
Kwa hiyo sina kasoro mkuu?

Lakin si inashauriwa kwenye mahusiano pakiwa na shida mkae muyaongee?Sasa mim nabakia kulia tu au kuitikia tu,hata kumbishia siwezi au hata kumkatisha akiwa anaongea siwezi hata kama nina hasira na unakuta nina vitu nataka kusema.

Nikikabwa sana nakimbilia kumuandikia sms kwa mdomo siwez kumwambia.Na akikasirika ni mkali hata ukilia hajali
 
Wanawake kama wewe huwa wanaitwa vindondocha. Huwa kazi yao ni kutii kila anachoambiwa na mumewe halafu mapenzi na waume zao huwa hayanogi kitu kinachofanya wanaume kupenda mchepuko zaidi na kuwaacha wake zao kama vyombo vya kuzaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…