Namuogopa X wangu

Lengo la kuongea naye ni kumchimba mkwara asilete mazoea na demu wangu, sasa Kuna shida gani kufanya kazi rahisi namna hiyo

Mkuu, wanasema ukicheka na nyani utavuna mabuwa
Babu hiyo haisaidii kitu kama bado wenyewe hawajamove on toka mwaka 47.
 
Kiporo kitamu.

Cc: Valhalla
 
Asa unamuogopea nini aisee mimi huyu kivuruge wangu anakula matusi sana na nahisi kazoea mshenzii huyu yaani anamiss ma ugomvi ndio maana hakomi

Kama unamuogopa usiwe unapokea simu yake wala kujibu sms
😀😀😀
Hayo matusi unamlambisha mkiwa pamoja au kwa simu au kwa sms?
Eti kiviruge😀😀
 
sema nayeye kama ana mpenzi mwingine hajamkoleza, mbona kumpuuza mtu ni kazi rahisi haswaa pale ukipata chenye uthamani zaidi yake.
 
au n njia nyingine ya kutangaza kutafta mchumba 😂mnahangaika kutoa ushauri wenzenu wako pm wanapima uwezo,,hebu Half american shtuka nenda nawewe, ingawa wengine wamefunguka humu humu.
 
sema nayeye kama ana mpenzi mwingine hajamkoleza, mbona kumpuuza mtu ni kazi rahisi haswaa pale ukipata chenye uthamani zaidi yake.
Kuna mapengo huwa hayazibiki mama, kuna watu hawanaga replacement utahangaika hadi utage uji kupata wa kumfikia na kumzidi. Kuna kitu huyo mwamba anacho ambacho ndio kinamzuzua binti.
 
Upo sahihi sana kumbe kuna muda huwa zinachaji vizuri tu 😂
unanionaga mimi boya sana sio😂,uo n ukwel,we mtu unaona mkipshana kdogo tu keshavunja cm ya laki saba kama mpo geto tv ya 55 inabondwa na fagio la chuma,,sasa huyo kutakua na maendeleo kwel,,hio ni warning ya mwanzo tu shtukaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…