Namuogopa X wangu

Namuogopa X wangu

au n njia nyingine ya kutangaza kutafta mchumba 😂mnahangaika kutoa ushauri wenzenu wako pm wanapima uwezo,,hebu Half american shtuka nenda nawewe, ingawa wengine wamefunguka humu humu.
Pm waende hao hao mimi hapana, michezo ya pm siitaki tena na nampenda huyu wangu.
 
Kuna mapengo huwa hayazibiki mama, kuna watu hawanaga replacement utahangaika hadi utage uji kupata wa kumfikia na kumzidi. Kuna kitu huyo mwamba anacho ambacho ndio kinamzuzua binti.
duuuh,,basi mim nna mapepo,nkipata kipya tu cha zamani naona 💩 😂,sema nna tabia ya kumganda mtu na kusamehe sana na kuvumilia sana pia, kiasi kwamba nkikuchukia na kukutoa rohoni,sitakumbuka jema lako hata moja.
 
unanionaga mimi boya sana sio😂,uo n ukwel,we mtu unaona mkipshana kdogo tu keshavunja cm ya laki saba kama mpo geto tv ya 55 inabondwa na fagio la chuma,,sasa huyo kutakua na maendeleo kwel,,hio ni warning ya mwanzo tu shtukaaaa.
Masikhara mengi ndio maana.

Mtu wa hivyo kukudhuru ni rahisi mno.
 
duuuh,,basi mim nna mapepo,nkipata kipya tu cha zamani naona 💩 😂,sema nna tabia ya kumganda mtu na kusamehe sana na kuvumilia sana pia, kiasi kwamba nkikuchukia na kukutoa rohoni,sitakumbuka jema lako hata moja.
Nakuahidi sitoruhusu ufikie hatua hiyo
 
Back
Top Bottom