Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
ni muha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si umeomba na natekeleza au ulikuwa unatania?Hahahaha kama kwel vile
Unani missunderstand kwa kila ninacho comment.Kakiri mwenyewe
Kifupi sieleweki mimiSitaki nataka wewe
mpuuze tu bwan, ugomvi sio lazima,kuna sehem umeitwa kule hebu twendeUnani missunderstand kwa kila ninacho comment.
Mara uhisi niko hapa kutafuta bwana.
Anyway.ukweli ni kuwa nimejaribu kupata solution ya vipi naacha ujinga wa kumuogopa mtu kiasi nashindwa kumtamkia vitu ninavyotamani kumtamkia kwa sauti ya kumaanisha.Hivyo tu
Alafu unaninyima nisikutag?Umeanza 😂😂😂
Mimi zidisha mara 100Kifupi sieleweki mimi
hakuna mahali nmetuma maombi mimiKwani si umeomba na natekeleza au ulikuwa unatania?
hakuna mahali nmetuma maombi mimiKwani si umeomba na natekeleza au ulikuwa unatania?
Umetoa maelekezo au siohakuna mahali nmetuma maombi mimi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alafu unaninyima nisikutag?
Nisipokutag ww ntamtag nani, uuh (in jux voice)
Shem huna bayampuuze tu bwan, ugomvi sio lazima,kuna sehem umeitwa kule hebu twende
Nmetoa mfano tuUmetoa maelekezo au sio
Uko wapi?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe mfano nilidhani unamaanisha maana na mimi ni chizi😂Nmetoa mfano tu
jangwaniUko wapi?
Nasema tu kuchangamsha genge hata ningevuta bangi nikimsikia nakua mpole😭😭Aseeee sikushauri usijejutia, endelea kumuogopa na kumpuuza
Basi nina maanisha sema naona aibu tu😂Kumbe mfano nilidhani unamaanisha maana na mimi ni chizi😂
request basijangwani
Narudia tena,,jifunze kumpuuza text zake ona kama za wale matapeli wa tuma kwenye namba hii,,na cm zake ona kama zile zinazoanza na 09........Nasema tu kuchangamsha genge hata ningevuta bangi nikimsikia nakua mpole😭😭