Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aoneshwe mji huuTatizo Morison akishampeleka kwenye supu ya kongolo tandika au mbagala ataharibika sana
Hapa mkiongeza na yule mbrazil wa singida ah mbona mnakula kuku kwa mrijaKi Aziz Stephane, bonge la mchezaji, huu ndio usajili bora wa msimu, tunaita ceiling raiser, anafanya take ons, chance creation, the midfield powerhouse, unataka aoneshe uwezo gani zaidi ya alionesha leo? Goli la kwanza nadhani kaassist yeye, pia kampiga doba yule fala na akacreate clear chance Mayele kakosa, perfomance rating nampa 7/10. Napomuona Aziz Ki anacheza namsalute sana Eng Hersi, Top top player.[emoji122]
Anapewa jimama moja la magomeni linalojua kufinyia kwa ndaniNgoja aoneshwe mji huu
Kabisa mkuu MAKOLO watapoteanaMoja kwa moja ..
Japo kwa gemu hizi mbili za karibuni hajakua na kiwango cha kuwakosha mashabiki ila nikimuangalia kwa uono wa kiufundi na kiuchambuzi pasi na touch nk zake za kiwango cha Epl akitulia kupata uzoefu wa ligi hii na kuzoema mazingira na mfumo wa klabu atasumbua sana .
Natabiri atakua KDB wa pili katika ligi yetu na kimataifa kwa ujumla
#Uzi Tayari
MAKOLo.....Kuna muda mnatema fact.....[emoji23][emoji23][emoji23]Nisiwe mnafiki, aziz ki ni mchezaji wa kiwango, amenikosha kwa kweli, nilikua napenda mda wote ashike mpira yeye, kuna kata funika 1 hivi, afu aka dribble aaaah wee alinikosha kwa kweli.
Kwa Aziz Ki, labda arogwe, asiporogwa Next MVP wa msimu.
Yaaani hatoamini,atapewa mambo asazeAnapewa jimama moja la magomeni linalojua kufinyia kwa ndani
Ukitaka kummaliza mwanaume wee mpe mbususu tuuYaaani hatoamini,atapewa mambo asaze
Wamloge mchezaji kutoka West Africa!? Thubutuu...watalogwa waoNisiwe mnafiki, aziz ki ni mchezaji wa kiwango, amenikosha kwa kweli, nilikua napenda mda wote ashike mpira yeye, kuna kata funika 1 hivi, afu aka dribble aaaah wee alinikosha kwa kweli.
Kwa Aziz Ki, labda arogwe, asiporogwa Next MVP wa msimu.
Ndio kiongozi upo sahihi naungana na wwNamna anavyo cheza Azizz K ata baadhi ya wachezaji wa Yanga Awaja mwelewa bado. K AZZ anacheza soka la kisasa.
Wewe mchezaji mwenzake usi simame Ili akupe pasi, unachotakiwa kimbia katika eneo unalo taka yeye mpira atakufikishia.
Sasa Mayele Alisha mwelewa yeye akawa anakimbia kwenye njia anakutana nazo pasi za mwisho.
Yanga ya second half ndo ingeanza first half, simba angeondoka amepigwa mbili au tatu.Kweli kabisa half ya Kwanza coach Nabi alikosea kumposition ki Aziz winger lkn nadhani aliliona Hilo ndio maana baadae DK 45 za pili kocha akamrudisha katikati nyuma ya mayele ndio akaanza kuwa htr mpaka akaasist goli la kwanza
Nadhani ki Aziz ni mzur Sana Attacking midfielder mwenye spid na Kwa soka la yanga namuona yupo sehem sahihi
Sasa hivi baadhi yao wanajitoa ufahamu wanakupinga, tena wanapinga kwa kitu kionekanacho machoni. Huu uzi ipo siku utambukwa.Kweli kabisa point tupu , assist yake ile ukiangalia kiufundi unagundua kua anaakili ya mpira na jicho la kuona mwenzake amejiposition na kupiga pasi kwenye move ya sawa.
Uzi wako utakuwa bora kama Mtu mmoja atakaa darasani na kufaulu somo la anticipation & positioning.Huu uzi utakua uzi bora wa mwaka trust me ,ninajiamini kama mchambuzi mbobezi.
Sijawahi kukuona ukiwa Mnafiki.Nisiwe mnafiki, aziz ki ni mchezaji wa kiwango, amenikosha kwa kweli, nilikua napenda mda wote ashike mpira yeye, kuna kata funika 1 hivi, afu aka dribble aaaah wee alinikosha kwa kweli.
Kwa Aziz Ki, labda arogwe, asiporogwa Next MVP wa msimu.