Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimi hauna mfuko,ila huo ufananisho badilisheni.Hakuna mchezaji anayeitwa 'de bruine' kama labda kama yupo Tandahimba Fc.
Hakuna methali ya kusema "ulimi hauna mfuko" 😂😂Ulimi hauna mfuko,ila huo ufananisho badilisheni.
Ulimi hauna mfuko,ila huo ufananisho badilisheni.
Ha ha ha ndo UYAONEGE.Hakuna methali ya kusema "ulimi hauna mfuko" 😂😂
Hahahahaha, sasa siku nyingine mpitishie desa ,maaana anapuyanga sanaMuhasibu hakuusoma huu uzi pengine yasingemkuta yanayoendelea sasa.
👍👊Mchambuzi mbobezi niliona zamani sana.
Mhasibu asiyejua bookkeepingMuhasibu hakuusoma huu uzi pengine yasingemkuta yanayoendelea sasa.
Nisiwe mnafiki, aziz ki ni mchezaji wa kiwango, amenikosha kwa kweli, nilikua napenda mda wote ashike mpira yeye, kuna kata funika 1 hivi, afu aka dribble aaaah wee alinikosha kwa kweli.
Kwa Aziz Ki, labda arogwe, asiporogwa Next MVP wa msimu.
Huu ndo ulikuwa utabiri sasa,aahaaaaMoja kwa moja ..
Japo kwa gemu hizi mbili za karibuni hajakua na kiwango cha kuwakosha mashabiki ila nikimuangalia kwa uono wa kiufundi na kiuchambuzi pasi na touch nk zake za kiwango cha Epl akitulia kupata uzoefu wa ligi hii na kuzoema mazingira na mfumo wa klabu atasumbua sana .
Natabiri atakua KDB wa pili katika ligi yetu na kimataifa kwa ujumla
#Uzi Tayari
😂😂😂Akili kubwa sana... Huyu jamaa kumbe ana uzi🤣🤣Selikavu na Half american njoo muone akili kubwaz Sio Ile ya kihasibu🤓🤣
Hapa adriz kani furahisha, siku 1 Nita mnunulia gun, awe gunman wa ukweli 🤣😂😂😂😂😂Akili kubwa sana... Huyu jamaa kumbe ana uzi🤣🤣
Aliona mbali kongole kwake...Hapa adriz kani furahisha, siku 1 Nita mnunulia gun, awe gunman wa ukweli 🤣😂😂
Anaitwa lionel azizi lapulga kiSelikavu na Half american njoo muone akili kubwaz Sio Ile ya kihasibu🤓🤣