Hata angalikuwa mwanangu nisingejiaibisha kuhudhuria! Hata midomo yake unaiona ilivyobabuka kwa ajili ya chumviMimi ninapenda Shilole, ni mwanamke anaejiamini. Wengi wanasubiri kuolewa na mwanaume mwenye pesa, yeye anaangalia mapenzi.
Kweli kijana ni mdogo na kwa umri wake wazazi wake wameshindwa kuhudhurua harusi au ni yatima?
Ni MWANAMKE.Nitatoa tamko nikijua wewe mtoa mada ni Ke au Me!
Hahahahaha...chumvi gani mkuuHata angalikuwa mwanangu nisingejiaibisha kuhudhuria! Hata midomo yake unaiona ilivyobabuka kwa ajili ya chumvi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] chumvi ipi ww au uvinzani au kanazibua sana mitaro kwa mdomo [emoji104] [emoji104]Hata angalikuwa mwanangu nisingejiaibisha kuhudhuria! Hata midomo yake unaiona ilivyobabuka kwa ajili ya chumvi
Kumbe hela zikikubali ujanja unakuja...Siyo mshamba,hela bdo hazijakubali
Tatizo Mkizidiwa jambo/kitu huwa mnaweka Ngao Ya Ushamba....Tumewastukia na Hamtusumbui na hilo neno lenu....Mtuache na Ushamba wetu Kaeni na UJUAJI WENU..tumeshawastukiaWasukuma woote ni washamba.mf.jpm,bashite,masha etc etc.we tafuta tuu msukuma mmoja mfuatilie.ndo utajua washamba wakoje.au google uone
Eeh na confidence inakuwepo,uchebe alikua muoga muoga si hana kitu jeuri anaitoa wapi?Kumbe hela zikikubali ujanja unakuja...
Very strong [emoji123] message.Haya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watu
Vichaa mbona ni afadhari man!
Kwa sasa hivi ukikuta kikundi cha watoto wa kiume 5 basi wanaume hapo ni 2 au 3.
Mwanaume siyo kuvaa suruali tu, man sherehe ni chakula na ndiyo maana kwenye ratiba kinawekwa mwisho. Ushawai kujiuliza kwanini inakuwaga hivyo?!
Narudia man sherehe ni chakula hizo zingine mbwembwe tu.
Hahha hapo hata kiburi cha kuchepuka hana....Eeh na confidence inakuwepo,uchebe alikua muoga muoga si hana kitu jeuri anaitoa wapi?
mbuji_mbuji leo umenenaHaya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watu
Mtoa mada kachanja mbuga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Sababu ya ushamba
mme=mumeHahaaaa. Unataka na weye uone ushamba wa Uchebe lol.
Acha wivu we jamaa. Ushamba sio ugonjwa ni mtazamo wa mtu binafsi akiwa anamaanisha nini. Watu wanajali afya njema na tabia njema, pesa ni matokeo ya juhudi inapokutana na fursa kwa wakati mmoja. Nina imani kuwa mke na mume wakiunganisha juhudi na fursa zilizoko na zitakazojitokeza mbele yao watafika mbali sana.Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake
Hii mada niliwahi kuiandika siku za nyuma moderators wakaifuta.Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake