Namuonea huruma binti yangu, sijui ataolewa na kijana wa aina gani

Namuonea huruma binti yangu, sijui ataolewa na kijana wa aina gani

Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Vijana wenye sifa bado wapo,sema kama ni wa hovyo atakutana na wa hovyo wenzake.
Unamkata mtu ni waruwaru.lakini anataka aoe/aolewe na aliyetulia.kazi huanzia hapo.
 
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
jitahidi sana ndugu
 
Wanawake wamejipambanua kuwa wanataka 50/50, sasa linapokuja suala la majukumu wanakimbia, waweke bayana hiyo 50/50 wanaitaka kwenye vitu gani haswa ili tujue namna ya kuishi nao hawa ma Super woman
 
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Kwa ulivyo andika namuonea huruma kijana atakae muoa binti yako. Atakaemuoa ana hasara.
 
Baba anasikitika vijana ni wabahili ,binti yake itakuaje ,huu ni msiba arifu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Na huyo bwana utakayemtafutia utamuumba wewe
 
asiwe mdangaji tu, mume atapata.

Wanaosema kulea familia ni jukumu la mwanaume, kwanini mabinti wanaenda shule, kuajiriwa na kulipwa mahahara sawa na wanaume?

Kama jukumu la kulea familia ni la mwanaume, ilitakiwa mwanamke alipwe mshahara nusu ya mshahara wa mwanaume. Vinginevyo fungeni midomo.
 
asiwe mdangaji tu, mume atapata.

Wanaosema kulea familia ni jukumu la mwanaume, kwanini mabinti wanaenda shule, kuajiriwa na kulipwa mahahara sawa na wanaume?

Kama jukumu la kulea familia ni la mwanaume, ilitakiwa mwanamke alipwe mshahara nusu ya mshahara wa mwanaume. Vinginevyo fungeni midomo.
Joketi kazalishwa na nani? Fred Vunjabei?
 
Aliemzalisha Joketi anaitwa nani? Kumzalisha alafu hataki kuoa nataka kumjua huyo muhuni ni nani? Anafanya Joketi anakua mbogo kwa wanaume wote kwa sababu ya muhuni mmoja?
 
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Wadada poa wakinanani wanaowasaidia na mnapigwa adi kwa buku2 alafu et si wabaili toa utolewe
 
Haya ndo matatizo ya Sera za usawa wa jinsia...
Upande mmoja mnataka usawa..
Halafu upande mwingine mnataka wanaume wabebe mzigo wote...
Chagueni kimoja...
Mkitaka usawa na Haki Sawa basi na gharama zake mbebe..
Au mkubali mwanaume awe mwanaume africanyway agharamie kila kitu....na asiulizwe ulizwe kama mahusiano ya kizungu yanayotaka usawa...

Hawa wenzetu hatujui wanataka nini
 
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu

Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?

Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.

Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Mimi ni kijana wa zamani lakini sikubaliani na wewe unavyodanganya. Zamani wamana karibia wote walikuwa ni wamana wa nyumbani baada-ya kuolewa hivyo ndio maana-hakukuwa na kitu kinaitwa housegirl sababu kazi za nyumbani zilifanywa na mke. Mume baada ya kuwa na kazi au shughuli ya kipato ndipo alioa na aliishi na mkewe huyo kulingana na kipato chake na wake wa wakati huo hawakuwa na tamaa ya kudai vitu ambavyo waume zao hawana uwezo navyo.

Siku hizi wote wawili mke na nume wana kipato tena mke anaweza kuwa na kipato sawa au kikubwa kuliko mumewe sasa kwa nini asichangie gharama za familia?

Wewe kama unamtafutia ajira ya ndoa bintoyo huku ukijificha katika chaka la ndoa kila la heiri maana wanaume wajinga bafo wapo, ila kwa anayejitambua humpati ng'o.
 
Back
Top Bottom