Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
A steam engine discovered by james whattKutana na binti mwenyewe View attachment 2928763
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A steam engine discovered by james whattKutana na binti mwenyewe View attachment 2928763
Vijana wenye sifa bado wapo,sema kama ni wa hovyo atakutana na wa hovyo wenzake.Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
jitahidi sana nduguVijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Una kitu Kaka, Kuna ka mkeka kaki tick tuta unda start up ya ma great thinker💪💪Huo muda wa kumchagulia mume binti yako ungeutumia kumfungulia kampuni na kumsaidia apate tender kubwakubwa ili ajitegemee kiuchumi ili asiwe ombaomba kama wewe na kusaida kutokomeza ufukara uliokithiri huko kwenu.
😁😁😁😁😁 amini kwamba lazma iwe hivyoUna kitu Kaka, Kuna ka mkeka kaki tick tuta unda start up ya ma great thinker💪💪
Kwa ulivyo andika namuonea huruma kijana atakae muoa binti yako. Atakaemuoa ana hasara.Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Asishangae binti yake ndie atakaemtafutia mchepukoNaona unakaandaa kabinti kako kuwa kachuma ulete au kamalaya.
Baba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea.
Mjengee maisha asiwe ombaomba
Unawazia hela za wanaume wenzako utakuja kuolewa wewe na binti yako
Na huyo bwana utakayemtafutia utamuumba weweVijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Mjinga nani kumzalisha Joke?jokate kazalishwa na wajinga
Joketi kazalishwa na nani? Fred Vunjabei?asiwe mdangaji tu, mume atapata.
Wanaosema kulea familia ni jukumu la mwanaume, kwanini mabinti wanaenda shule, kuajiriwa na kulipwa mahahara sawa na wanaume?
Kama jukumu la kulea familia ni la mwanaume, ilitakiwa mwanamke alipwe mshahara nusu ya mshahara wa mwanaume. Vinginevyo fungeni midomo.
Umeona mkuuAsishangae binti yake ndie atakaemtafutia mchepuko
Wadada poa wakinanani wanaowasaidia na mnapigwa adi kwa buku2 alafu et si wabaili toa utoleweVijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Haya ndo matatizo ya Sera za usawa wa jinsia...
Upande mmoja mnataka usawa..
Halafu upande mwingine mnataka wanaume wabebe mzigo wote...
Chagueni kimoja...
Mkitaka usawa na Haki Sawa basi na gharama zake mbebe..
Au mkubali mwanaume awe mwanaume africanyway agharamie kila kitu....na asiulizwe ulizwe kama mahusiano ya kizungu yanayotaka usawa...
Mimi ni kijana wa zamani lakini sikubaliani na wewe unavyodanganya. Zamani wamana karibia wote walikuwa ni wamana wa nyumbani baada-ya kuolewa hivyo ndio maana-hakukuwa na kitu kinaitwa housegirl sababu kazi za nyumbani zilifanywa na mke. Mume baada ya kuwa na kazi au shughuli ya kipato ndipo alioa na aliishi na mkewe huyo kulingana na kipato chake na wake wa wakati huo hawakuwa na tamaa ya kudai vitu ambavyo waume zao hawana uwezo navyo.Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa,
1. Wabahili
2. Wanapenda mtelemko
3. Wanalishana ujinga sana
4. Hawana hofu ya Mungu
Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke achangie kibapo, bado awe romantik na apendeze, how is that possible?
Vidume vya zamani vinaenda porini usiku kucha kukimbiza swala wanarudi wanamkabith mke anarekebisha mambo yanaenda. Sasa naona hawa wa sasa wanataka waende polini kukimbiza swala na wake zao.
Kinachofuata nitamsaidia kumtafutia bwana binti yangu, bila hivyo atakutana na hawa mazuzu wabahili, wanaodhani kua na uume inatosha kuwa mwanaume
Hapa sikuungi mkono, ndoa ni msingi wa familia boraKwani ni lazima aolewe?..
Hebu acheni ulimbukeni kuhusu ndoa unadhani ni elimu hiyo kwamba utalipa pesa tu mtoto anaenda kusoma.😃😃😃