Namuonea huruma binti yangu, sijui ataolewa na kijana wa aina gani

Hapa sikuungi mkono, ndoa ni msingi wa familia bora
Kua uyaone, hivi unadhani kuoa au kuolewa kuna formula kama 1+2=3 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Ni bahati aisee kubali usikubali, sasa tangu lini ukawekeza maisha yako kwenye bahati nasibu.

Make it optional.
 
Kua uyaone, hivi unadhani kuoa au kuolewa kuna formula kama 1+2=3 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Ni bahati aisee kubali usikubali, sasa tangu lini ukawekeza maisha yako kwenye bahati nasibu.

Make it optional.
Suala la wewe kusema sio issue ndo nimekupinga
 
Suala la wewe kusema sio issue ndo nimekupinga
Siyo issue kabisa wewe muwekee mtoto misingi bora suala la kutafuta mchumba muachie bahati yake ila akihitaji ushauri unampatia na siyo kumtafutia mume.
 
Kwanza ana miaka mingapi huyo binti yako?
 
Huo muda wa kumchagulia mume binti yako ungeutumia kumfungulia kampuni na kumsaidia apate tender kubwakubwa ili ajitegemee kiuchumi ili asiwe ombaomba kama wewe na kusaida kutokomeza ufukara uliokithiri huko kwenu.
usisahau akiwa na kibunda watamtumia hawata muoa watamuogopa atakuwa bibi mjane
 
hakikisha awe bikra atapata kila kitu
 
binti yako ana miaka mingapi mkuu?
 
Huo muda wa kumchagulia mume binti yako ungeutumia kumfungulia kampuni na kumsaidia apate tender kubwakubwa ili ajitegemee kiuchumi ili asiwe ombaomba kama wewe na kusaida kutokomeza ufukara uliokithiri huko kwenu.
Dah hilo jibu lako mbona kama umetumia panga kuua panya
 
kwanza baba anayesema wabahili ni wale maisha magumu anataka kupona kupitia maisha ya mkwe endaa
 
Dunia imepitia na bado inapitia mabadiliko mengi sana. Mabadiliko haya huwa chanya kwa upande fulani na hasi kwa upande mwingine.
Na unapopokea mabadiliko hauwezi kuchagua upande mmoja bali utapokea pande zote 2.
Hivyo unapofurahia matokeo chanya lazima ujue kuna sehemu utapokea matokeo hasi bila kupenda.
Tatizo linalokikuta kizazi hiki ni kila jinsia kutaka ipokee matokeo chanya pekee. kitu ambacho hakitokaa kitokee. Ndio maana jinsia zote zinalalamika na malalamiko yao yana mashiko.
 
Una hoja usikilizwe
 
kwanza baba anayesema wabahili ni wale maisha magumu anataka kupona kupitia maisha ya mkwe endaa
Simaanishi hivo, ni vile wanaume wanataka kutegemea kipato cha mwanamke, which is wrong
 
Mkuu wao wenyewe si ndio wanataka 50/50 ndo hiyo sasa usiwalaumu vijana aise.

Think before you spit.
 
Wewe ni baba au ni mama.
Kama ni mama utampoteza binti yako mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…