Namuonea sana huruma Mwanaume mwezangu anaelipishwa pesa za matunzo ya mtoto asie wake, kuna wanawake moja kwa moja motoni

Namuonea sana huruma Mwanaume mwezangu anaelipishwa pesa za matunzo ya mtoto asie wake, kuna wanawake moja kwa moja motoni

Nyie si ndio mnadai kuna baraka katika kutoa sadaka?
 
Ukute hujamwambia hata huyo jamaa yako! Lakini jasiri haachi asili wewe ni mbea.
 
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?

Hii kitu naishuhudia daily kila uchwao, kuna co worker anamlipisha mwanaume pesa za matumizi wakati si mtoto wake

Ni kwamba walioana vizuri tu nami nilialikwa kwenye sherehe kwa kuwa na ukaribu na co worker, kipindi hicho wanapooana huyu co worker bado alikuwa na mahusiano na na mwanume mwengine ambae alikuwa anakuja sana hapa kazini, wao huzuga kujiita marafiki lakini kwetu watu wazima tunajua jamaa anapiga, Aliacha utaratibu wa kuja baada ya mwenzake kuolewa.

Baada ya kuoana co worker akaanza kuweka status mara zinazoashiria hana amani kwenye ndoa, si muda mrefu akarudi kwao.

Kwa character ya mme suala hili liliacha viulizo maana huyo jamaa ni mtu mpole sana, mcha Mungu, ni msomi haswa na kaajiriwa moja ya taasisi ambayo inalipa vizuri tu lakini hana fujo wala mbwembwe.

Binti akajifungulia huko kwao lakini tangu ajifungue huyo mtoto hajawahi kuwa na baba yake nje ya geti, panapotokeo vikao vya kusuluhisha wakija ndugu wengine mtoto anafichwa anazungushwa huko town.

Sasa kuna siku kapost picha ya mtoto amekuwa kuwa yani ni copyright ya huyo jamaa mwengine.

Ndipo ukagundulika mchezo hapo kwamba binti alipoona mambo yanaweza kumuumbua akalianzisha varangati kuonekana ananyanyaswa ili iwe exit strategy ya kuondoka.

Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?
Unajuaje makubaliano ya wanandoa yakoje wakati hupo katika hiyo ndoa?

Fuatilia hamsini zako. Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe.
 
kama alikula mchenyeto wakati tayari mimba imetungwa ya mwanaume mwingine huyo mshua atunze tu hicho kiumbe cha msela mwingine. Ila kama mwanamke alichepuka akanasa mimba nje huyo mshua aamue mwenyewe tu kumezea hayo maumivu au azuge haelewi kitu na azingatie msemo wa kitanda hakizai haramu
 
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?

Hii kitu naishuhudia daily kila uchwao, kuna co worker anamlipisha mwanaume pesa za matumizi wakati si mtoto wake

Ni kwamba walioana vizuri tu nami nilialikwa kwenye sherehe kwa kuwa na ukaribu na co worker, kipindi hicho wanapooana huyu co worker bado alikuwa na mahusiano na na mwanume mwengine ambae alikuwa anakuja sana hapa kazini, wao huzuga kujiita marafiki lakini kwetu watu wazima tunajua jamaa anapiga, Aliacha utaratibu wa kuja baada ya mwenzake kuolewa.

Baada ya kuoana co worker akaanza kuweka status mara zinazoashiria hana amani kwenye ndoa, si muda mrefu akarudi kwao.

Kwa character ya mme suala hili liliacha viulizo maana huyo jamaa ni mtu mpole sana, mcha Mungu, ni msomi haswa na kaajiriwa moja ya taasisi ambayo inalipa vizuri tu lakini hana fujo wala mbwembwe.

Binti akajifungulia huko kwao lakini tangu ajifungue huyo mtoto hajawahi kuwa na baba yake nje ya geti, panapotokeo vikao vya kusuluhisha wakija ndugu wengine mtoto anafichwa anazungushwa huko town.

Sasa kuna siku kapost picha ya mtoto amekuwa kuwa yani ni copyright ya huyo jamaa mwengine.

Ndipo ukagundulika mchezo hapo kwamba binti alipoona mambo yanaweza kumuumbua akalianzisha varangati kuonekana ananyanyaswa ili iwe exit strategy ya kuondoka.

Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?
Meh!
 
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?

Hii kitu naishuhudia daily kila uchwao, kuna co worker anamlipisha mwanaume pesa za matumizi wakati si mtoto wake

Ni kwamba walioana vizuri tu nami nilialikwa kwenye sherehe kwa kuwa na ukaribu na co worker, kipindi hicho wanapooana huyu co worker bado alikuwa na mahusiano na na mwanume mwengine ambae alikuwa anakuja sana hapa kazini, wao huzuga kujiita marafiki lakini kwetu watu wazima tunajua jamaa anapiga, Aliacha utaratibu wa kuja baada ya mwenzake kuolewa.

Baada ya kuoana co worker akaanza kuweka status mara zinazoashiria hana amani kwenye ndoa, si muda mrefu akarudi kwao.

Kwa character ya mme suala hili liliacha viulizo maana huyo jamaa ni mtu mpole sana, mcha Mungu, ni msomi haswa na kaajiriwa moja ya taasisi ambayo inalipa vizuri tu lakini hana fujo wala mbwembwe.

Binti akajifungulia huko kwao lakini tangu ajifungue huyo mtoto hajawahi kuwa na baba yake nje ya geti, panapotokeo vikao vya kusuluhisha wakija ndugu wengine mtoto anafichwa anazungushwa huko town.

Sasa kuna siku kapost picha ya mtoto amekuwa kuwa yani ni copyright ya huyo jamaa mwengine.

Ndipo ukagundulika mchezo hapo kwamba binti alipoona mambo yanaweza kumuumbua akalianzisha varangati kuonekana ananyanyaswa ili iwe exit strategy ya kuondoka.

Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?
Kaka izi mmbo ziache uenda Binti alilazimishwa utajuaje
 
Nacheka kama mazuri haya mambo haya ila unajua nini ukiwa na mwanamke mjanja mjanja kaa nae kininja ninja pia, "almanusra yanikute hayo kwenye mahusiano", aliposema ana mimba nikamwambia sikia wewe hapa penzi tu kama mimba sihusiki, kwani sijui kama uko na huyu nilimuonyesha picha ya mshkaji aliyekuwa nae alikuwa anapiga alidhani sijui[emoji23][emoji23]
Ila vurugu za ujana!!noma sana
 
Back
Top Bottom