Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Mada za Ushoga zinapendwa sana Jamii Forum,
Yaani inaonesha jinsi Vijana hawana la kuvumbua kwenye akili zao ndogo zaidi ya kuwaza Ushoga na Mashoga,

Inasikitisha sana.
 
Kulazimisha watu kutangaza ushoga ni kufuru ya hali ya juu. Mashoga kama wameamua kufanya, wafanye huko kwenye vyumba vyao kama sisi pia tunavyofanya wake zetu bila kutangaza. Suala la mapenzi ni la watu wawili. Wala haina haja ya kutangaziana. Culture Me
 




Hapo majuzi, timu kubwa ufaransa ya PSG ilienda kucheza mechi huku wachezaji maarufu wa dini kuu mbili wakiwa wamevaa jezi za kuhamasisha na kuutetea ushoga na usagaji lakini kuna mchezaji moja Idrissa Gueye alikataa kuvaa hizo jezi akilalamika ni kinyume na anachoamini

Hili suala si la kidini tu, ni suala la utu.

Mabeberu haya yanajinadi ni nchi zenye uhuru ila kiukweli sijaona chochote kinachoruhusu mtu awe huru kwa anachoona kwake ni sahihi kukisimamia, mabeberu wanajipa uhuru kwenye mambo wanayoyaona ni sahihi kwao lakini wanawazuia wengine kuwa huru kwa wanachoona ni sawa na hakimdhuru yeyote wanapo kisimamia.

Mtu analipwa kucheza mpira ila wanaanza kumlazimisha awe balozi na mhamasishaji wa vitu ambayo vipo kinyume mno na dini yake na hata tamaduni zake.

Kama kuna mashoga na wasagaji, sawa tu waendelee na itikadi zao wao kimpango wao, lakini haya mambo ya kuanza kumlazimisha mtu kutetea mashoga si uungwana hata kidogo.

Wahaya tuna msemo, "Kogya bunyira, naiwe onyira". Tafsiri yake Kiingereza ni "You can't live in a society and be free from it". Yeye kama hakubaliani na mambo yao, aje Tanzania achezee timu zetu.
 
Wahaya tuna msemo, "Kogya bunyira, naiwe onyira". Tafsiri yake Kiingereza ni "You can't live in a society and be free from it". Yeye kama hakubaliani na mambo yao, aje Tanzania achezee timu zetu.
Je wewe muhaya uko upande gani?
 
Je wewe muhaya uko upande gani?
Kama Wafaransa wanaamini ushoga na yeye sio Mfaransa kiherehere cha nini kujumuika nao? Anataka kuwalazimisha kufanya anavyoona yeye ni sawa? Je, Wafaransa wakija Tanzania na kukutaka uwe shoga utakubali?
 
Kulazimisha watu kutangaza ushoga ni kufuru ya hali ya juu. Mashoga kama wameamua kufanya, wafanye huko kwenye vyumba vyao kama sisi pia tunavyofanya wake zetu bila kutangaza. Suala la mapenzi ni la watu wawili. Wala haina haja ya kutangaziana. Culture Me
Kufuru unaijua wewe,
Wafanye kwenye vyumba vyao kwa maana unawaza ushoga ni ngono tu,
Wewe na Mwanamke wako mbona mna haki ya kuoana, kuzaa, kuasili, kushikana mikono hadharani, mkienda hotelini hakuna anayewahoji wala kuwashangaa, hakuna anayewanyanyapaa kwa kua ni mke na mume, hampigwi, hamuuliwi kwa kua mke na mume mnapendana, hamteswi, hamtengwi na jamii,

Ushajua Mashoga wanapitia mangapi sababu tu wanapenda watu wa jinsia yao???
 
Mbona una jibu halafu unauliza? Chokonoaneni huko vyumbani kwenu. Hakuna mtu atawatafuta. Acheni kueneza ushoga kwa watoto wetu hadharani. Mbona sisi hatutangazi kwenye mechi za mpira? Whether unaamini katika Mungu ama nature, of what use is sex between a man and man? It is a dead end. It is abomination.
hakuna anayewanyanyapaa kwa kua ni mke na mume
 
Mbona una jibu halafu unauliza? Chokonoaneni huko vyumbani kwenu. Hakuna mtu atawatafuta. Acheni kueneza ushoga kwa watoto wetu hadharani. Mbona sisi hatutangazi kwenye mechi za mpira? Whether unaamini katika Mungu ama narute, of what use is sex between a man and man? It is a dead end. It is abomination.
Ungekua una akili nilichokiweka hapo juu ndio ungeelewa kwanini unasema "wanaeneza" hawaenezi Ushoga bali wanaweka "uelewa" jamii ya Heterosexual itambue kua kuna jamii ya Homosexual pia, isijione wao ndio wanahisa na hii Dunia, kwa kuwafanya Homosexuals waishi maisha ya mateso na kukosa haki zao za Msingi kama Binaadam wengine.
 
Not to that extent.... Wee jifanye una uhuru wa kutembea na mwanaume mwenzio mtaani umemshika kiuno halafu uone. Inamishwa huko gizani, siyo ulete ufirauni wako hadharani.
Ungekua una akili nilichokiweka hapo juu ndio ungeelewa kwanini unasema "wanaeneza" hawaenezi Ushoga bali wanaweka "uelewa" jamii ya Heterosexual itambue kua kuna jamii ya Homosexual pia, isijione wao ndio wanahisa na hii Dunia, kwa kuwafanya Homosexuals waishi maisha ya mateso na kukosa haki zao za Msingi kama Binaadam wengine.
 
Not to that extent.... Wee jifanye una uhuru wa kutembea na mwanaume mwenzio mtaani umemshika kiuno halafu uone. Inamishwa huko gizani, siyo ulete ufirauni wako hadharani.
Jamaa anatetaa mashoga 😂😂😂😆😆
 
Hapa unawakwepaje kwa mfano na hizi ni rangi zao za kupromote ushoga na ndo rangi kuu kwenye utawala wao.
Huna chapa uuzi ununui

Screenshot_20220522_204211.jpg
 
Back
Top Bottom