Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Sasa kwa nini hukufikiria hivyo kabla ya kumwambia utamuoa?

Anaweza kukuganda kama luba mpaka umchukie huyo.

Na ukimuacha anaweza kutengeneza uadui.
Ni kweli anaweza kutengeza uadui,ila sikutegemea Kama angeonesha upendo hivi,
 
Mpotezee tu, ikikulazimu muambie ukweli.

Unamkuza huyo, kwenye haya maisha ili ukomae vizuri unahitaji kuumia mara kadhaa.

Usijilize lize, mambo ya karma sijui dada yako atafanyiwa hivyo ni fikra za kipuuzi.

Simaanishi hujafanya kosa, umefanya. Usilirudie tena, na ukilirudia basi isiwe kwa mtindo huu....
 
Maana yake huyo ni mwanafunzi wa either form two au form three
 
Sawa ila ndio amefika kilingeni hapa anataka unga wa ndele ili anachosema umsikilize yeye tu hata ndugu zako husiwasikilize..
Dawa yako inachemka..
 
unasema ulifanya juhudi kubwa sana kumpata na ukampata right?

na sasa pia unafanya juhudi kubwa zaidi kumuacha right?

ulifanikiwa nadhani ni muhimu kuonana na daktari wa afya ya fikra kabla tatizo halijawa kubwa zaidi tuendako, haswa kwa wasiopenda kuchezewa kizembe namna hiyo..

Otherwise huna haja kulaumu kutekwa ila ni matokeo ya hizi juhudi zako za kitapeli 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…