Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
[emoji1][emoji1]Ni pm no yake niwe nachat nae kisha ujifanye umefuma msg za mapenzi kwenye cm yake umuache nimchukue mimi
Baada ya kumuonesha huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo tukupe kadi ya umember wa chama chetu cha CHAPUTA
Ushauri mzuri sana huu. Kazi kwake kijana...Make up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.
Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.
Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kumuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.
Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.
Naomba nisitendwe, ili nizidi kufaidi. Ila kama kuna hiyo mnaita karma ipo, basi lazima nitakinywea tu manake huko nyuma sikuwa mtu mstaarabu sana...
Au akutumie namba ya demu wake!!! Uweze kusawazisha mambo sawaDogo acha utoto basi, muoe huyo kama humtaki achana nae tafuta wa saizi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha....uliliza wengi kuumbe[emoji4], basi nikuhakikishie siku yako yajaNaomba nisitendwe, ili nizidi kufaidi. Ila kama kuna hiyo mnaita karma ipo, basi lazima nitakinywea tu manake huko nyuma sikuwa mtu mstaarabu sana...
Ndio mana umekuwa mshauri mzuri kwenye idara ya mambo hayaAhh life,I had to respect his decision.
aisee hivi vitu jaribuni hata kuyoutube vijana wenzangu umri sio tatizo kama ana akili ya maisha nenda naee kikubwa asiwe damaged women basii ila kama ni damaged huwezi mbadili maisha yako yoteeePole mkuu na mimi kuna demu ananielewa ila shida ni umri kanizidi ila vigezo vingine yupo poa huwa nawaza nashindwa cha kufanya maana anawatosa washkaji.na ukicheki mimi hata siendani nae kanizidi vigezo vingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naona lilikua kosa lako kuendelea kuwa nae ili hali ukijua huna mpango nae.Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..
LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..
Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_
2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia
4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke
SHIDA NI NINI_
Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa
SABABU NI NINI_
Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...
So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...
Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Bwana kijeba mtoa mada!!!! Siku zote tamani sana kwenye maisha yako upate mtu atakaekupenda sana kuliko utakavyompenda wewe hapo kwakweli utaenjoy sana maisha ya mapenzi BUT ukipata tofauti yaan upate mwanamke utakae mpenda wewe sanaaaaa!! Basi tambua yatakayokuja kukukuta siku ukiachwa ni majuto lakini kwa vigezo ulivyoviweka havna mantiki yoyote na huyo mwanamke ni wife material kabisaaa kitu ambacho ni wanawake wachache walionavyo hasashasa uaminifu na ukitaka kujua huyo mwanamke yuko tofaut mwache afu upate mwngne utakaempenda then muombe simu yake ukae nayo hata masaaa tu kama hujafa!!!!! Ndipo utamkumbuka huyo ulomuacha na kipindi hicho utamkuta kashaolewa na ndoa yake na watt juuu. Period!!!!