Nancy Pelosi aondoka Taiwan

Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...

Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Acha kuniaibisha basii, kwamba hujafuatilia tangia alipotua mpaka kuvalishwa medali ya ushujaa na speech yake?! Kwamba vyote hivyo vilifanyika uwanjani pale kwa upeo wako lol!!
Keep yourself updated and don't lag yourself behind of anything in this world.
 
Aende na kwa mzee wa kiduku kama kweli ni mbabe tuone kama hajarudi kwa machela 😂
 
Like baby girl throwing her toys from a pram!
 
Sasa macho twayarudisha Nagormo Karabah, (Azerbaijan imefanya mashambulizi), Kosovo, na Ukraine!
 
 
Majitu hayana uelewa mlitaka Huyo mama apigwe risasi. Thailand watakuwa na wakati mgumu sana
Hapana. Air force ya China ilitakiwa ifukuzie ndege yake mbali asiruhusiwe kabisa kutua. Ndege mbili juu; mbili chini; mbili kushoto; na mbili kulia wamtoe nje ya airspace ya Taiwan.

Hilo tu wangekuwa wamefanya la maana kwa zile tambozao; you are playing with fire; my foot. Kuna anayeijua fire kuzidi United States?
 
Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...

Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Hizi akili mngekua mnaishia kwenye zile nyuzi za kula tunda kimasihara. Inasikitisha bongo ina watu wa hovyo sana kwenye reqsoning capacity. Huyo mama kalala hotel na leo alikua anahutubia ikulu dunia nzima imeshuhudia haya unayatoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…