Acha kuniaibisha basii, kwamba hujafuatilia tangia alipotua mpaka kuvalishwa medali ya ushujaa na speech yake?! Kwamba vyote hivyo vilifanyika uwanjani pale kwa upeo wako lol!!Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Like baby girl throwing her toys from a pram!Kwa hasira majeshi ya china yameapa kukata mauno kama tiara huku yakisonya kama mapepo na vijidege vyao na vijimeli vyao kuanzia leo baadae. Watakata mauno feni kuizunguka Taiwani kwa siku 7 huku wakiisuta Taiwani na vidole juu kwa nini imewaaibisha taifa teure la china.
Aisee!Aende na kwa kuduku kama kweli ni mbabe tuone kama hajarudi kwa machela 😂
hahahaaaaaTabia za China ndio tabia za CCM.
Hela ndiyo inatengeneza nguvu ya kijeshi mzee.
Huna hela huna lolote..... China ni muoga wa ku spend pesa hivyo hawezi kuingia vita na Taiwan wakati anajua US yupo pale.
Game is over; wacha tusubiri Putin na yeye how long he is going to survive against westerners.
Umeandika nini hapa wewe mzee?Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Hapana. Air force ya China ilitakiwa ifukuzie ndege yake mbali asiruhusiwe kabisa kutua. Ndege mbili juu; mbili chini; mbili kushoto; na mbili kulia wamtoe nje ya airspace ya Taiwan.Majitu hayana uelewa mlitaka Huyo mama apigwe risasi. Thailand watakuwa na wakati mgumu sana
Bora Buza kwa Mama Kibonge au Sigara,huyu ni Mchina wa Buza kwa Mpalange.Hiyo airport aliyotua iko sayari gani we mchina wa buza?
Umempa heshima sana kumwita meku.Kwani airport Ndio hapafikiki.Acha uduanzi basi meku[emoji848]
Mtaani akafanye nini?Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...
Hizi akili mngekua mnaishia kwenye zile nyuzi za kula tunda kimasihara. Inasikitisha bongo ina watu wa hovyo sana kwenye reqsoning capacity. Huyo mama kalala hotel na leo alikua anahutubia ikulu dunia nzima imeshuhudia haya unayatoa wapi?Mbona kafikia airport, kaongelea airport na kaondokea airport...
Kama wao wanaume kweli wengempeleka mtaani akanyoshwe...