Pole mjukuu wangu kwa kuchelewa kulijua hili.Hapo zamani niliamini kuwa ukiwa mkubwa unafaidi tu!! Lkn mambo ni kinyume na matarajio!! ukubwa tayari!!. Sasa hivi ukiwa na pesa!! shikamoo pesa.
Ila mola jalia muungano wao uwe imara kuliko wa!! UK
Nimetamani tu "harusi"Umetamani kuolewa au kugusanishia maeneo hayo
Oooh!sawa,usiku mwemaNimetamani tu "harusi"
Harusi imefungwa KKKT USHARIKA WA NGARENARO ARUSHA., ndio wakaenda hapo.Harusi imefungwa Ngarassero Lodge Arusha..
Harusi imefungwa KKKY USHARIKA WA NGARENARO ARUSHA ,halafu cha kusikitisha ni kuwa hii ndoa haikuwahi kutangazwa kanisani hata mara moja, watu wenyewe si wenyeji wa usharika huo sijui kwa nini hakufungia huko usa, au kwa kuwa bi mkubwa nae kwao ni usa akajua wachaungaji wangesthukia mchezo?! Ila jana pale kanisani iliacha maswali mengi sana watu wanahisi huyu mchungaji aliefungisha ni wa familia au amehongwa, maana haikufuata utaratibu wowote wa kutangaza ndoa.hiyo ndoa imefungwa kanisa gani,picha tafadhalia ambazo wapo kanisani???
Kwani Tanzania ikoje mpaka unasema "utafikiri sio Tanzania"?? Unadharau nchi yako? Acha hizo.Asante mkuu mazingira yanavutia mno aisee utafikiri sio Tanzania
Wahindi wanaoa wabongo lakini wabongo kuoa wahindi ni shida sana.
Duhh..Ni Uzbekistan lodge hiyo karibu na stend ya mabasi nyuma ya uwanja wa sheh Amri Abeid.
Chokaraa za bongo movie haziwezi ingia hapo..Nimewaona ma miss Tz wa zamani ,Wema Sepetu sijamuona hapo.
Daah..Mkuu hebu tupe picha za Kanisani..Harusi imefungwa KKKY USHARIKA WA NGARENARO ARUSHA ,halafu cha kusikitisha ni kuwa hii ndoa haikuwahi kutangazwa kanisani hata mara moja, watu wenyewe si wenyeji wa usharika huo sijui kwa nini hakufungia huko usa, au kwa kuwa bi mkubwa nae kwao ni usa akajua wachaungaji wangesthukia mchezo?! Ila jana pale kanisani iliacha maswali mengi sana watu wanahisi huyu mchungaji aliefungisha ni wa familia au amehongwa, maana haikufuata utaratibu wowote wa kutangaza ndoa.
Wala sikupiga picha mkuu, nilikuwa kanisani kwa ajili ya maombi ndio tunashtuka bi harusi anaetoka ni Nancy, ilikuwa kimya kimya hana mbwembwe wala msururu wa magari, tukabaki kujiuliza mbona hii ndoa hatukutangaziwa?! basi tukaendelea na yetu.Daah..Mkuu hebu tupe picha za Kanisani..
Duuhh!!bongo ukiwa na pesa +fame u can move the mountain!!Harusi imefungwa KKKY USHARIKA WA NGARENARO ARUSHA ,halafu cha kusikitisha ni kuwa hii ndoa haikuwahi kutangazwa kanisani hata mara moja, watu wenyewe si wenyeji wa usharika huo sijui kwa nini hakufungia huko usa, au kwa kuwa bi mkubwa nae kwao ni usa akajua wachaungaji wangesthukia mchezo?! Ila jana pale kanisani iliacha maswali mengi sana watu wanahisi huyu mchungaji aliefungisha ni wa familia au amehongwa, maana haikufuata utaratibu wowote wa kutangaza ndoa.