Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Eeeh Nancy ni "mzuri", hanaga makorombwezo. Hili group wana "class", kugombana ni kawaida kwa binadamu, naamimi kuna muda wanatofautina, but what matters ni kwamba wanasolve issue zao maturely. No drama at all, fausta si nasikia walimtoa kwenye group sijuiMake up bila make up huyu dada mzuri.na mashoga zake classic fulani hivi.husikii mikwaruzano wala skendo. Hongera zake