Nandy adai yeye na Aslay ni miongoni mwa wasanii watano matajiri zaidi Tanzania

Nyie wanaume wa dar ndio kazi zenu mnashinda vijiweni since morning till evening mnajadili fulan anahela sjui fulani asema ye anahela kuliko fulani

Tafuta na wewe za kwako
Daaah sawa boss nyi wa mikoan mnafanya nin
 
Tajiri kwa mchupi ule??m.a.n.i.n.a
 
siku anavuliwa chupi na BILLNAS atakua alipewa na utajiri pia😀😀😀😀😀
 
Nahisi wewe ndio umedata Kwenye interview sijaskia wanaongelea hayo uloyaandika na hakutaja list ya wasanii zaidi yake na aslay

"Lilommy: umemention hapa aslay kama ni moja ya wasanii wanaoingiza mkwanja sana
nandy: mhh!
Lil ommy:kama ingetokea kum rate utampa nafasi ya ngap tunaonaga mbele wanatoa list za wasani wenye mkwanja na nini
nandy : aa mhh aa kwenye aam unipe sasa kwenye top ngap top twenty au nimuweke kwny nafas gan
lilommy: kwny top five
nandy: top five
lilommy: yeah
nandy : naeza nikamuwka kweny no 3 ommy: no 3
nandy : eee
Lilommy : wakwanza?
nandy: ahahaa siwez kumtaja wa kwanz ahaha no 3
Lilommy : ohyeah wa pili ni nani
nandy: siwez kutaj wa kwanza au wa pili ila ni no 3
Lilommy : wewe unajiwek kwneye nafas ya ngap
nandy ya 4 "
Watu wanamishe zao tofauti mjini zinazo waingizia pesa so think big
 
Bangi mbaya sana!! Bilnass kabla hujasukuma mbolea kwa uyo dogo acha kumvutisha bangi
 

Rich mavoko Ana pesa gan na wewe , hata gar anagongea mxieew
 
Mbona nyandu tozi hayupo kwenue list hapo??
 
Daaah sawa boss nyi wa mikoan mnafanya nin
Wamikoan saiv tunauza vitunguu kilo 2400 yani net ya 75 kgs ni laki na themanini yani fuso singo gunia 80 ni milion 14 na laki nne sjui km wewe na wanaume wenzako wa dar mmeingiza hizo kwa siku ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…