BUNDI ALBINO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 415
- 612
Sawa mkuu. Aendelee kukaza.Mkuu hela haijifichi ndo mana pamoja na hide kutopata promo kubwa ila utajir wake unaonekana...hata nyandu hana u star huo ila pesa yake inaonekan na hata jay moe ni hivo hivo
Kuhusu majigambo ni kwel kawaida ila nandy anakosea mda wa kufanya hivo...angesubir at least hata hili la billnas liishe ndo Γ anze kuleta drama za mziki....hasa drama zinazoleta mitazamo hasi kama hili....at least angeongeza ngoma Kali kama ninogeshe
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]kwani haja move on? Mawazo ya kwangu mie hayawezi kumzuia yeye kufanya yake...Siyo fair, mwacheni amove on mazee.
Halafu I have an interest in you, am waiting for it to mature (yaani nasubiri iive).
Ha ha haaaa. Dah JF raha sanaaaaa......Angekuwa number 3 angevaa jichupi lililoshonwa kwa mfuko wa cement?
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]kwani haja move on? Mawazo ya kwangu mie hayawezi kumzuia yeye kufanya yake...
Hahahahahaha........hiii ni kwa kila mzazi ili wewe ujione kilaza na mara nyingine anaweza kutafuta mtihani mmoja ambao aliotea akapiga 95 ndio anakuoshea naoMbona hata wewe wazazi wako walikuwa wanakudanganya walikuwa wanashika namba moja darasani
wamekuambia ni wanamuziki matajiri .na siku zote usibishane na mwanamke kwa masuala ya utajiri wanatembea na migodi kwenye chupi ohooo!Mkuu mi sibish ila ni ngum mtu kukuelewa kuwa hao jamaa wanaingia top five mbele ya Diamond...Alikiba....Lady Jaydee....prof j....Ay....Harmonize.....
Rayvan na baadh ambao siwajui
na hasa mademu ndio usiwaguse kwa mkwanja we kuwa nae ofisini mpokee mshahara sawa na utaona maajab gari anayokuja nayo na nyumba anayoishi na kama yuko "single"-yaaninhana myu maalum ndio balaaa!Nahisi wewe ndio umedata Kwenye interview sijaskia wanaongelea hayo uloyaandika na hakutaja list ya wasanii zaidi yake na aslay
"Lilommy: umemention hapa aslay kama ni moja ya wasanii wanaoingiza mkwanja sana
nandy: mhh!
Lil ommy:kama ingetokea kum rate utampa nafasi ya ngap tunaonaga mbele wanatoa list za wasani wenye mkwanja na nini
nandy : aa mhh aa kwenye aam unipe sasa kwenye top ngap top twenty au nimuweke kwny nafas gan
lilommy: kwny top five
nandy: top five
lilommy: yeah
nandy : naeza nikamuwka kweny no 3 ommy: no 3
nandy : eee
Lilommy : wakwanza?
nandy: ahahaa siwez kumtaja wa kwanz ahaha no 3
Lilommy : ohyeah wa pili ni nani
nandy: siwez kutaj wa kwanza au wa pili ila ni no 3
Lilommy : wewe unajiwek kwneye nafas ya ngap
nandy ya 4 "
Watu wanamishe zao tofauti mjini zinazo waingizia pesa so think big
Haha[emoji91] [emoji91] [emoji91]Labda anamaanisha matajiri wa vyupi[emoji848][emoji848]
Sanaa. Halafu sasa hiviv wanakuja na drama za kaka na Dada. Really???Lile tukio nahisi lilikuwa planned, make recovery yake imekuwa ya haraka sana.
Sanaa. Halafu sasa hiviv wanakuja na drama za kaka na Dada. Really???
Wapuuzi sana yaaniHahaha!
Nilicheka kweli zile swaga za hongera dada.
Nyie wanaume wa dar ndio kazi zenu mnashinda vijiweni since morning till evening mnajadili fulan anahela sjui fulani asema ye anahela kuliko fulani
Tafuta na wewe za kwako
Mpaka sasa yupo class [emoji102]Mkuu baba yangu hajawah kunambia ila waliosoma nae hua hawaachi kunisimulia jinsi mzee alivokua Genius
Trust my dad ni kichwa class
ππππππππMbona hata wewe wazazi wako walikuwa wanakudanganya walikuwa wanashika namba moja darasani