Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Wa bongo bana !

Yani pesa yenyewe ya ngama halafu anaitumia kianasa hivyo [emoji3][emoji3][emoji3]

Akili kweli ni nywele na kila mtu ana zake!

Show off inawagharimu Africans kwa sana siyo bongo tu lakini hata kwingineko mfano America!
 
Hongera Nandy.

Pambana utoboe zaidi ya hapo

Ila kajitahid mtoto wa watu , hakajadanga wala kutega mimba kama mikina hamisa kazi uvivu tu na kumanua miguu ndo wapate kula mjin mxieew

Ka nandy nakapenda sio kadangaji, yan anawez asigawe uroda Mwaka mzima na akaishi, sio shoga zangu mimi akina mwajuma nchokonoe( wema , Irene , hamisa, tessy na wengine) mpaka wachokonolewe ndo mambo yaende , siku miuchi yao ikipotea mjin hawana pa kukaaa wala pa kula mbwa hao manina zao
 
Ahah ahah lol , hii nyumba inaonekana ni ya wale matajir wa enzi za mwalimu, enzi hizo Ndo ilikua mjengo babkubwa, na hapo wame renovate , jumba shapeless kama maziwa ya Masha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu una nini lakini? Khaaaaah nimecheka hadi mbavu zinauma
 
Back
Top Bottom