Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warumi una nini lakini😂😂😂😂😂😂Ahah ahah lol , hii nyumba inaonekana ni ya wale matajir wa enzi za mwalimu, enzi hizo Ndo ilikua mjengo babkubwa, na hapo wame renovate , jumba shapeless kama maziwa ya Masha
IST ina muonekano huoNilidhani ni IST
[emoji16][emoji16][emoji16]Kama Ex wake tu na utajir wote aliomba msaada wa kutibiwa sasa yeye kajamba nan Si Ndo ataomba msaada dunia Nzima mxieew
Post yako ina maana kubwa sana atakaeilewa ina mafunzo na burudani💃💃[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera Nandy.
Pambana utoboe zaidi ya hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu una nini lakini? Khaaaaah nimecheka hadi mbavu zinaumaAhah ahah lol , hii nyumba inaonekana ni ya wale matajir wa enzi za mwalimu, enzi hizo Ndo ilikua mjengo babkubwa, na hapo wame renovate , jumba shapeless kama maziwa ya Masha
MNICHANGIEEEEEE UTAWASIKIAWakianzaga Kuumwa.. Kutwa mabakuli ya kuomba msaada ni mengi sana .
Alijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stressWa bongo bana !
Yani pesa yenyewe ya ngama halafu anaitumia kianasa hivyo [emoji3][emoji3][emoji3]
Akili kweli ni nywele na kila mtu ana zake!
Show off inawagharimu Africans kwa sana siyo bongo tu lakini hata kwingineko mfano America!