sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,053
- 1,304
W're talking about talenthahaaa utoto bwana,unaexperiment vitu vingi........inauma kwa sasa ila atapona,many have gone through the same thing na wamepona,and I don't think it will affect her career as she is 'purely talented'....sio analazimisha fani
Siku zote anayedharau amri kumi za Mungu yakimkuta hatushangai,tuache visingizio,ACHENI ZINAAutoto ni ugeni katika mapenzi,halafu kipindi cha ku 'explore' relationship and sex ni kipindi hicho cha 18-26 ,na hiki kipindi hauwi expected kufanya maamuzi magumu,sababu japokua umekua ,haujawa matured enough...au wewe umefukuzwa kwenu as soon you turned 18?
nimekuelewa Sisutoto ni ugeni katika mapenzi,halafu kipindi cha ku 'explore' relationship and sex ni kipindi hicho cha 18-26 ,na hiki kipindi hauwi expected kufanya maamuzi magumu,sababu japokua umekua ,haujawa matured enough...au wewe umefukuzwa kwenu as soon you turned 18?
Wewe ni KE au ME?Alikuwa anapimaa Topeee wew...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema katika hayo mambo Mwanaume ndo huwa ananonekana SHABABIII yanii ilaa demu anaonekana malayaaa... Nandy kachafukaa sanaa aisee ilee video wapinzani wake wataitumia sana kumuumiza... Namuonea huruma vile alikuwa anaonekana decent sana.. Ruge piaa atampigaa chini sasa daah clouds ikikutemaa kupotea ni lazimaa... Diamond tu ndo Simbaaaaa dadeki... So nandy kufanywa vile ni aibu kwanza bora ingekuwa mbele...!
Siku zote anayedharau amri kumi za Mungu yakimkuta hatushangai,tuache visingizio,ACHENI ZINAA
W're talking about talent
Tatizo ni kwamba tulizoea kuona mambo hayo kwa watoto wa kiume. Yaani mtoto wa kiume anamlazimisha mpenzi wake ampige picha wawapo faragha.
Hii imekuja kiutofauti. Nandy mwenyewe ndo anarekodi hiyo video. Ndio maana kila mtu yupo upande wa billnass. Lakini endapo aliyekua akirekodi angekua billnass, basi kila mtu angekua upande wa nandy. Na kumuuliza billnass kwanini aliamua kumfanyia mchezo huo mwenzake
Kusema kweli, nimejikuta namchukia Nandy ghafra baada ya kujua anafanya vitu ambavyo sikuwahi kufikiria anaweza kufanya
Kweli mkuu wamepata zaid ya walicho hitajiUtoto Na kick za kijinga
Hivi kuna msanii wa mziki wa kike hapa Tz kawasasa hivi ambaye ana-trend kwenye media kumshinda Nandy....????Kitendo cha yeye kuwa gumzo tu kwa alichokifanya ni KIKI tosha kabisa,
Tofauti sasa yeye yupo Bongo na si Marekani.....Hiyo video imemletea umaarufu. Next kardashian wa bongo.
Kwakua na nandy ni mwanamke,na mwanamke mwili wake imehusiwa ustiriwe kwakua umejaa matamanio,ebu pima tu tembea na mkeo akiwa tumbo wazi nawe tumbo wazi nanip ataonekana kituko.Sijui kama umeelewa nilichomaanisha, Nandy anaendelea kuwa mhanga wakati Billnas anapotezewa.
Wabongo walivyo wanafiki. Usicheze kabisa na wabongo. Kesho watamuita shujaa..Tofauti sasa yeye yupo Bongo na si Marekani.....
Huyo Binti mpaka aje akubalike tena ...sijui....
Mkuu seriously ile jichu*pi lipo vizuri ?Ile video imemharibia reputation yake sio kwa leo tuu..maisha yake yote yaliyobaki lazima itamathiri..kitendo cha dkk 1 tuu kinaweza kubadiri hali ya maisha yako, yaani huyu dada haters wake huko mbele watafukua kweli makaburi yake na hili ndio kaburi kubwaa litakalofukuliwa hadi watoto wake watakuja kuona..ni kweli wanawake ni wahanga, yaani mwanaume anapondwa kuhusu uchafu wa chumba tuu zigo lilibaki ni la mwanamke..harafu ile chu*pi mbona nzuri tuu naona pia wanamsakama pia katika angle hiyo
Hilo suala haliishi saa hizi kumbuka kuna teknolojia ambayo imetumika kuhifadhi hiyo video,itakaa miaka na miaka.Msifanye watu waendelee kufanya makosa hovyohovyo kwakujua yatapita kirahisirahisi kwani mume wa huyo Nandy hatakua na furaha kamili pale atakapokua anaambiwa nakurushiwa video za huku yeye kamuoa.Fanyeni wasichana waishi kiuangalifu ili maisha yao ya sasa yasijekuwaletea matatizo baadae.Afande Selle hadi sasa kila watu wakitaka kuonyesha ujinga wao wanaonyesha ile picha aliovuaga akabaki na boxer,naye alidhani litapita kirahisi.
Kama wanawake, wanaojua pichu zipi nzuri na zipi mbaya kwao, wasingeshikia bango ile pichu basi wanaume tungeona ipo sawa, sababu wanawake wenzake wameshika bango hapo ili kumchafua zaidi sasa na sisi tunajua ile pichu ni mbaya. Wanawake wanzake wametusanua.
Mkuu lile dole linapima tope pale siyo oilIle video alikuwa akiichukua mwenyewe. Nadhani tatizo linaanzia hapo. Sasa kwa nini yule dogo awe bashed? Hakuwa amevua nguo zote. Dogo alikuwa anapima oil na Nandy yupo happy tu.
you are right,ila once vitu kama hivi vikitokea kuna process unapitia,from guilty ,anger,confusion and acceptability,once ume accept and forgive yourself ,unakua at peace,havikusumbui tena hata likijuridia mara kwa mara .I don't say halitakuuma,kila ukipata kinachokukumbusha lazima upate dejavuu- feelings you felt when you first saw yourself on internet nude.i think ukipata mtu matured both in age and experience,ataaangalia other qualities that you have beyond the scandals ,we all experiment na watu wengi wana scandals na hawajulikani kwenye internet-so kuonekana on the internet sio kwamba wewe ndio Mala*ya sana and I think any MATURED MAN knows this......