acha kumfananisha Gaucho na vichezaji vya ajabu ajabuWakuu hebu tumalize huu ubishi wa muda mrefu kwa kupiga kura nani alikuwa mkali uwanjani katika suala zima la ufundi ndani ya uwanja na kuisaidia timu yake kati ya Zinedine Zidane na Ronaldinho Gaucho.
CC: CossovoMan Belo Erythrocyte Amavubi herrera
Ronaldino alijua kuuchezea mpira wakati Zizzou anajua kucheza mpira. Tofauti iko hapo
Aisee Gaucho alikuwa ni shidaaaa
Mkuu, kwa Talent/Skills Zizzou kiukweli atasubiri sana mbele ya Gaucho. Kwa wakati Gaucho yuko kwenye peak, Zizzou alianza kushuka.1998 fainali ilichezwa ufaransa
Brazil alilala mbele ya ufaransa. Kipa akiwa barthez , anelka , wiltod, deschamps, kalembeu, na wengine nimewasau
Brazil ikiongoza na claudio tafarel, ronardo , roberto, caf , dunga, Rivaldo, na wengine nimewasahau, kocha mario zagallo baada ya kutoka ufaransa alifutwa kazi kisa hakumuita Romario kikosini.
Ronaldo alipotoka hizi fainali alienda kucheza inter millan ,akapigwa but ilomfanya akae nje kipindi kirefu.
Kama sijasahau zidane aliwahi kucheza Barcelona , ndio madrid ikamsajili huku ikivunja record ilowahi kuwekwa na luis figo. Miaka michache baadae ronaldo akaja madrid.
2002 : korea kusini na Japan
Mechi ya kwanza wafaransa wanapigwa goli moja na senegal.
Fainal brazil anampiga goli mjeruman, fainali hizi ndio watu wanapata kumjua Gaucho, Caf anastaafu mpira.
Nimewaambia, Zidane anajua kucheza mpira. Unamkumbuka Fabrizio Ravanel na Gianluica Vialli mkuu. Au mnaandika tu1998 fainali ilichezwa ufaransa
Brazil alilala mbele ya ufaransa. Kipa akiwa barthez , anelka , wiltod, deschamps, kalembeu, na wengine nimewasau
Brazil ikiongoza na claudio tafarel, ronardo , roberto, caf , dunga, Rivaldo, na wengine nimewasahau, kocha mario zagallo baada ya kutoka ufaransa alifutwa kazi kisa hakumuita Romario kikosini.
Ronaldo alipotoka hizi fainali alienda kucheza inter millan ,akapigwa but ilomfanya akae nje kipindi kirefu.
Kama sijasahau zidane aliwahi kucheza Barcelona , ndio madrid ikamsajili huku ikivunja record ilowahi kuwekwa na luis figo. Miaka michache baadae ronaldo akaja madrid.
2002 : korea kusini na Japan
Mechi ya kwanza wafaransa wanapigwa goli moja na senegal.
Fainal brazil anampiga goli mjeruman, fainali hizi ndio watu wanapata kumjua Gaucho, Caf anastaafu mpira.
Anajua kuchezea mpira...sio kucheza mpiraUshawahi kusikia hili neno"nabii Wa mwisho Wa soka" ulizia uambiwe ni nani unadhani aliitwa tu hivi bure [emoji117] ronaldo de asis almaarufu ronadinho ni habari nyingine hata messi anakiri kwa mdomo wake kati ya vitu anavyovipenda basi ni kumuona.dinho akiwa anacheza Moira wake kwa umaridadi
Km nimpira wa kufraisha ni sahihi Gaucho is the best ever & second one is Okocha.
Mkuu utakuwa ulikuwa unamtazama gaucho wakati wameshinda....lakini ukimkuta Gaucho timu ipo kwenye hali mbaya barca walikuwa wanamtaza yeye kubadili matokeo na siku zote alikuwa akitoa kitu timu imefingwa anatoa kitu cha faida kwa timu
Namkumbuka vizuri, pia namkumbuka Christian vieli, huyu zidane ndio alowafundisha mpira kina Thierry Henry. Huyu zidane ni dharau kumlinganisha na gaucho,Nimewaambia, Zidane anajua kucheza mpira. Unamkumbuka Fabrizio Ravanel na Gianluica Vialli mkuu. Au mnaandika tu
Fainali za kombe la dunia mwaka 2006, aliisaidia nini Timu yake ya taifa , kombe lilienda Italia baada ya ufaransa kushindwa na Italia mbele ya matelazi, cannavaro, gatuso, del piero, mwaka huo ndio zidane alistaafu mpira baada ya kumpiga kichwa matelazi. Kwenye club yake mwaka huo walifanikiwa kutwaa uefa baada ya kumpiga arsenal goli 2 kwa 1, goli la kwanza likiwekwa kimiani kwa penalti, dakika chache baadae soul campbel anachomoa, baadae kabisa arsenal anapigwa goli la pili na mpira unakwisha arsenal wakiwa pungufu uwanjan baada ya kipa wao kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
A
Kwahiyo kama mtu kacheza rafu unataka aachwe wewe hujui mpiraFainali za kombe la dunia mwaka 2006, aliisaidia nini Timu yake ya taifa , kombe lilienda Italia baada ya ufaransa kushindwa na Italia mbele ya matelazi, cannavaro, gatuso, del piero, mwaka huo ndio zidane alistaafu mpira baada ya kumpiga kichwa matelazi. Kwenye club yake mwaka huo walifanikiwa kutwaa uefa baada ya kumpiga arsenal goli 2 kwa 1, goli la kwanza likiwekwa kimiani kwa penalti, dakika chache baadae soul campbel anachomoa, baadae kabisa arsenal anapigwa goli la pili na mpira unakwisha arsenal wakiwa pungufu uwanjan baada ya kipa wao kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
A