chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Exactly
ukute ulikuwa hujazaliwa,dinhno halinganishwi na mchezaji yeyoteAcha kumlinganisha Zinedine Zidade Zizzou na vitu vya kijinga
Mkuu ebu weka ile clip ambayo Zidane aliwavisha kanzu wakina Ronaldo kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Brazil na France.
sahiv yuko wapi na anafanya nn?
Acha kutuwekea historia zako za uongo wakati watu tulikuwepo!, Zizou kacheza lin barca? Ovyoooo! Zizou katoka Juve kwenda Madrid aliyetoka barca ni Figo1998 fainali ilichezwa ufaransa
Brazil alilala mbele ya ufaransa. Kipa akiwa barthez , anelka , wiltod, deschamps, kalembeu, na wengine nimewasau
Brazil ikiongoza na claudio tafarel, ronardo , roberto, caf , dunga, Rivaldo, na wengine nimewasahau, kocha mario zagallo baada ya kutoka ufaransa alifutwa kazi kisa hakumuita Romario kikosini.
Ronaldo alipotoka hizi fainali alienda kucheza inter millan ,akapigwa but ilomfanya akae nje kipindi kirefu.
Kama sijasahau zidane aliwahi kucheza Barcelona , ndio madrid ikamsajili huku ikivunja record ilowahi kuwekwa na luis figo. Miaka michache baadae ronaldo akaja madrid.
2002 : korea kusini na Japan
Mechi ya kwanza wafaransa wanapigwa goli moja na senegal.
Fainal brazil anampiga goli mjeruman, fainali hizi ndio watu wanapata kumjua Gaucho, Caf anastaafu mpira.
Wee jamaa wa bush sana iv hapa wanalinganisha uwezo au ukongwe?Namkumbuka vizuri, pia namkumbuka Christian vieli, huyu zidane ndio alowafundisha mpira kina Thierry Henry. Huyu zidane ni dharau kumlinganisha na gaucho,
Anafaa kulinganishwa na kina paulo mardini, Gianfranco Zola, luis madeira figo, Patrick kluivert, mac overmas, philip cok, edgar devis, davor suker, boban, roberto bagio, paul auspirilla, Sebastian veron, batistuta, ariel otega, teddy sheringham,
Dinho ni nouma,kama lile goli aliliwafunga Chelsea lilikuwa bonge la goli...ana mambo mengi sana hyu staa.
ukute ulikuwa hujazaliwa,dinhno halinganishwi na mchezaji yeyote
Kazi aliyotumwa na mungu, kisha imaliza.
Zinedine yazid zidane (zizle) ndiye bora, gaucho ni kama akina henry, na crespo
We binti hebu kuwa na heshima hata kidogo. Ronaldo ambaye hata kwa Messi anasumbuana naye ndio umlinganishe na Balozi wa soka la mbinguni duniani?? Unapozungumzia masuala ya soka UCHO mfungie kabatini, then endelea kudiscuss kuhusu hawa wengine. Alaaaaah!!
Apo sas mkuu unaongelea skills binafsi...sizani kam kuna mchezaji aliefika ata robo ya skills kwa gaucho...ukitaka waweke clip za skills humu utamkataa kabsa zidane wako!!.