jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Hizi habari za kutolewa bikra mapema unakuja kuoa mtu keshapita na wanaume wa kutosha ndo huongeza idadi ya michepuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kaliMimi nimeambulia bikra ya kizazi tu...
Ndiyo, lakini point ni kwamba bikra hairelate na mapenzi ya kweliHuoni kama kuna tatizo hapo,
Umetolewa utepe chini ya miaka 17
Wazazi hawafanyi kazi zao ipasavyo
Hata Malay.a alikuwa bikra. Unajua hilo?Hizi habari za kutolewa bikra mapema unakuja kuoa mtu keshapita na wanaume wa kutosha ndo huongeza idadi ya michepuko
Ukitaka kugombana na watu wengi ktk suala la mahusiano bac zungumzia bk....hasa wanawake hukerwa mno pale unapomhoji kuhusu namna gan bkra yke ilivyobutuliwa na kubak na bwawa!!!Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Mjadala uko wazi.
Wewe umeshawatoa bikra wangapi na wako na nani sasa hivi?Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Mjadala uko wazi.
Natamani nikupe like kama 5 hivi...[emoji106][emoji106]Umetoa bikra za wanawake ,ila mkeo hukumkuta na bikra hapo tunasema ngoma droo ,mla na vyake huliwa.
Wasi wasi ondoa niliyemtoa bikra ndo niliomuoa na niliwa oa ambaye sikumtoa bikra na ninajua kuwa kuna tofauti kati ya hizo hali mbili.Wanawake mnajua umuhimu wa kujitunza kwa ajili ya mume wako na wengi huwa mnaumia sana mnapotolewa bikra na watu wasiokuwa na heshima ambao amtaki hata kuwakumbuka.Ukweli ni kwamba kwa binti ambaye hana mtoto ukiwa hauna bikra ni haki ya mwanaume anayetaka kukuoa afahamu bikra yako ilitokaje hasa ikiwa mmekurana ukiwa chini ya miaka 25Wewe umeshawatoa bikra wangapi na wako na nani sasa hivi?
Sio kila bikra inatoka kwa kujamiiana..
Sijui kama wanaume nao wanajina gani sawa na bikra kwa wanawake, Wewe ulifanya ngono na nani kwa mara ya kwanza? Uko nae?
Kuna mambo sio ya msingi saaana halafu yako kimfumo mfumo...
Mkuu hiyo kitu ni ngumu sana kuiweka katika hali ya kuelewa . Nadhani itabidi utumie extral mile ya akili kujua nani kavunja ukuta wakwanza. Akikupenda sana atakuambia lkn ujue akishasema ni fulani expect something . Hawa watu huwa hawasahau the first person to meet lkn pia hawapendi sana kushare hilo. Maana maana kwao waona kama wataliweka wazi ni dhahiri kuwa watadharaulika . Anyway siyo kwa kila mtu.Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Mjadala uko wazi.
Utatukaniwa wazazi. Futa huo uziHabari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Mjadala uko wazi.
Duh, bikra ya kiume tena balaaKwani wanaume hawana bikraaaa?
Dah kudadekEndeleeni kujipa moyo.. Mwisho wa siku mnafanywa wajinga,,, kuoa MWANAUME asiye bikira ni sawa na KUISHI NA MPENZI WA MTU.... zamani Ilikuwa ni aibu UNAOLEWA kukutwa bila bikira,, na msichana ukimtoa bikira kuoa ni lazima,, lakini leo tunaona ni sawa kuoa mwanamke ambaye si bikira,,, na Ndy wasichana wanashindwa KUJUWA THAMANI YA BIKIRA,,, Kama ingekuwa ukimkuta msichana sio bikira unaweza kumhoji ilikuwaje? Si dhani Kama kungekuwa na utitiri wa BIKIRA LESS MITAANI..