Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kama mwingine nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama wote wameangukia pua.

Tusubiri na hatima ya huyu wa sasa.
Lugola aliangukia pua
 
Mwenyezi Mungu alivyo fundi anatembea na kila anaejionesha yupo upande wa sukuma gang mpaka waishe
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kama mwingine nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama wote wameangukia pua.

Tusubiri na hatima ya huyu wa sasa.
Huyu tutapata jibu lake kabla ya 17.03.2022, wait and see
 
ushindi vitani ni kuhakikisha unabaki hai. Ukifa umefeli. Jiwe kafeli vibaya
ishu ni CCM bado ipo palepale hadi mmekubali mama anaupiga mwingi.......huku sio saccos ya mtu mmoja maana mnaona gaidi akipotea na saccos imekufa tofauti sana na CCM kimetoka chuma kimekuja chuma.......kwako mwalimu Kashasha
 
ishu ni CCM bado ipo palepale hadi mmekubali mama anaupiga mwingi.......huku sio saccos ya mtu mmoja maana mnaona gaidi akipotea na saccos imekufa tofauti sana na CCM kimetoka chuma kimekuja chuma.......kwako mwalimu Kashasha
kwa hiyo jiwe mmemula kichwa?
 
Acheni kumhusisha Mungu na siasa zenu za hovyo.
Mungu ni wa wote .
Wadhambi na wasio wadhambi..
Chadema wapo wabaya na wazuri kama ilivyo kwa vyama vyote vya siasa.
Pambaneni kisiasa acheni kumhusisha Mungu na vitu vya hovyo
 
Kila atakayeihujumu Chadema lazima yamkute mabaya ikiwa ni pamoja na kifo cha mateso
Pasipo kuombewa kuugua pole na yeyote isipokuwa wote watanena "RIP".
CDM ni hatari kwa haters wote wa TRUE DEMOCRACY&INDEPENDENT THINKING.
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kama mwingine nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama wote wameangukia pua.

Tusubiri na hatima ya huyu wa sasa.
unapaswa ujue kuwa Vyombo vya ulinzi na usalama vina pambana na vitaendelea kupambana na vitendo vyote vya Uvunjifu wa Amani na Usalama wa Taifa letu.
kamwe! hatovumilwa mtu yeyote yule atakaye jaribu kupanga, kufanikisha au kutenda vitendo vya uvunjifu wa Amani na Usalama wa nchi yetu.
Amani na Usalama wa nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko chadema.
 
unapaswa ujue kuwa Vyombo vya ulinzi na usalama vina pambana na vitaendelea kupambana na vitendo vyote vya Uvunjifu wa Amani na Usalama wa Taifa letu.
kamwe! hatovumilwa mtu yeyote yule atakaye jaribu kupanga, kufanikisha au kutenda vitendo vya uvunjifu wa Amani na Usalama wa nchi yetu.
Amani na Usalama wa nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko chadema.
Hivyo vyombo viko kulinda kwanza masilahi ya CCM na sio Taifa hili.
 
Back
Top Bottom