Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Ogopa sana kupambana na imani za watu, chama chenye wanachama hai 7m, bado wafuasi, jua pia kuwa chama hiki kinaugwa mkono na vijana hasa wasomi, wanaojitambua.
Hapo kwenye 7m una hakika ingekuwa hivyo wapinzani waowasingetafuta usaidizi wote wanaoutafuta pindi wakiwahotaji wanachama wao ili kutimiza malen go yao.
 
Nimesema ni yule dhalim mwendazake aliyeko jehanam
Jehanam ndo wapi blaza.....sie weusi ukifa tunajua unaenda kukutana na mababu unakua kamzimu...........anko Magu kaenda kuongeza sapoti huko huoni hadi mnakubali watu wanaupiga mwingi..........nyie wa imani za mabeberu mtajijua wenyewe na hio jehanam yenu yakufikirika
 
Siku zote gaidi akishindwa bado anajisifia ameshinda kama chadema mnajisifia mlishinda mkahujumiwa kweli gaidi hasarendi
 
Kubwa la mipango ya kuwafuta viongozi limedakwa hivyo hakuna kero kwa sasa, wale vidagaa wakikurupuka tu ndani ya nyavu
Nchi iko salama bwashee
Hahahahahaha nmecheka kwa sauti [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Lini Sasa Chadema ilishinda ikaongoza nchi? We naye Una mahaba tu!

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Mbona kama ni mahaba mbona hata wewe unayo

20210726_164351.jpg
 
Nyinyi puyangeni kwenye media wenzenu CCM wanapuyanga na Jamana printers.
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama(serikali, watu binafsi, n.k,), wote wameangukia pua.Kama yupo aliewahi ishinda CHADEMA, nitajieni na mimi nimjue.

CHADEMA si NCCR, CUF au vyama vingine, bali hiki chams ni namba nyingine na ndio maana kimeweza kutawla ligi ya vyama vingi kwa miaka mingi mfululizo licha ya waamuzi kutokuwa fair kwani husajili wachezaji wenye viwango na ndio maana timu pinzani huwanunua wakiamini watawasaidia ila mambo hua kinyume chake.

Baada ya kuona CHADEMA ni unbeaten ndani ya uwanja kwa miaka mingi, wakaanza fitina nje ya uwanja, ila nawaambia hata hii mbinu ambayo wamekuwa wakiitumia kwa muda sasa, nayo itashindwa tu.

Hivyo, kwa wakati huu, tusubiri na hatima ya huyu alieamua kupambana na hiki chama tuone atafika wapi.
Cdm ni chama cha watu wenye akili nyingi
 
Chadema lazima iangaliwe kwa jicho la tatu, kama mwenyekiti wa chama alikuwa Katili wa kupanga mauaji ya watu wengine, je hao walio chini yake na wafuasi aliwafundisha kitu gani kama sio uhalifu na ujambazi?! inawezekana sio wote lkn baadhi yao lazima wafuatiliwe ili kubaini matendo yao na wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Tunamshauri Msajili wa Vyama vya siasa afute huu mkusanyiko wa wahalifu walio jificha kwenye mwamvuli wa chama cha kisiasa.
Amani ya nchi yetu lazima italindwa kwa gharama yoyote ile, hatuko kuona kikundi cha watu wachache kinajaribu kuchezea amani ya nchi yetu.
kamwe hato chekewa mtu yeyote.
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama(serikali, watu binafsi, n.k,), wote wameangukia pua.Kama yupo aliewahi ishinda CHADEMA, nitajieni na mimi nimjue.

CHADEMA si NCCR, CUF au vyama vingine, bali hiki chams ni namba nyingine na ndio maana kimeweza kutawla ligi ya vyama vingi kwa miaka mingi mfululizo licha ya waamuzi kutokuwa fair kwani husajili wachezaji wenye viwango na ndio maana timu pinzani huwanunua wakiamini watawasaidia ila mambo hua kinyume chake.

Baada ya kuona CHADEMA ni unbeaten ndani ya uwanja kwa miaka mingi, wakaanza fitina nje ya uwanja, ila nawaambia hata hii mbinu ambayo wamekuwa wakiitumia kwa muda sasa, nayo itashindwa tu.

Hivyo, kwa wakati huu, tusubiri na hatima ya huyu alieamua kupambana na hiki chama tuone atafika wapi.
Dah! Chadema mnajua kujiliwaza! Chama hakina mwenyekiti wa mtaa wala kijiji, eti Chadema ni mpango wa Mungu!
Chadema mgombea Urais wake alikuwa anahubiri Usodoma na Gomora uliomfanya Mungu aiteketeze dunia, eti Chadema ni mpango wa Mungu!
Chadema yenye wafuasi waliowatukana wanawake akina Mdee matusi yote waliyoweza kuyafikiria na kuyatunga, eti Chadema ni mpango wa Mungu!
Chadema yenye viongozi wanaoamini bila wao nchi haiwezi kutawalika mpaka Kiongozi wao ameishia kuwa GAIDI lenye kupanga njama za kuwaua viongozi wa Kiserikali ili lenyewe liongoze, eti Chadema ni mpango wa Mungu!
Chadema yenye wafuasi ambao kila wanapoambiwa na viongozi wao waingie mtaani kudai haki zao, wao wanaugyata na kukimbilia JF na kuanza kuandika eti Chadema ni mpango wa Mungu!

Ikumbukwe, Mungu upenda kuwadhihiri hadharani wahuni (kama Lissu, Lema, Mdude na Gaidi Mbowe) ili waadhibiwe duniani na Yeye awashughulikie wakifika kwake!
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama(serikali, watu binafsi, n.k,), wote wameangukia pua.Kama yupo aliewahi ishinda CHADEMA, nitajieni na mimi nimjue.

CHADEMA si NCCR, CUF au vyama vingine, bali hiki chams ni namba nyingine na ndio maana kimeweza kutawla ligi ya vyama vingi kwa miaka mingi mfululizo licha ya waamuzi kutokuwa fair kwani husajili wachezaji wenye viwango na ndio maana timu pinzani huwanunua wakiamini watawasaidia ila mambo hua kinyume chake.

Baada ya kuona CHADEMA ni unbeaten ndani ya uwanja kwa miaka mingi, wakaanza fitina nje ya uwanja, ila nawaambia hata hii mbinu ambayo wamekuwa wakiitumia kwa muda sasa, nayo itashindwa tu.

Hivyo, kwa wakati huu, tusubiri na hatima ya huyu alieamua kupambana na hiki chama tuone atafika wapi.
We pungasese wewe! Uchaguzi uliopita chadema mlishinda viti vingapi? Mkapoteana, wengine hadi leo wanaogopa kurudi wakihofia usaliti wa nchi walioufanya.

Mtateseka sana.
 
Back
Top Bottom